Recent content by Nyambwitu

  1. Nyambwitu

    Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Mtoa mada pia atanisaidia... Uchovu mwingi=ubongo umetumia energy nyingi kwenye kufikiria ama kufanya kazi Fulani. Inatakiwa pia uwe unapata muda wa kupumzika au kumeditate(kumeditate Kuna kufanya uwe na uwezo wa kubalance pumzi na kutuliza mawazo, mara nyingi ukiimaster hii, unajikuta...
  2. Nyambwitu

    Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    Kuna movie Moja hivi inaitwa A MAN FROM EARTH ya zamani kidogo, jaribu kuitazama, Kuna kitu inafundisha. Na Kuna swali inakuacha nalo, ambalo ni je! Utakuwa nani kama ukweli ukiwekwa wazi na kujikuta unachoamini sivyo kilivyo.
  3. Nyambwitu

    Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Me nadhani inakuwepo siku zote, ila kama hakuna trigger inakuwa silence, ukii trigger inatokea. Ila kwa hii mada hapa tunayoijadiri, Kuna stage ukifikia unakuwa una uwezo wa kutazama mawazo yako na kuyapima na kuamua reaction au kutofanya reaction yoyote. So ukipata mwongozo mzuri hakuna hisia...
  4. Nyambwitu

    Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Ego ni kama mfumo wa ulinzi binafsi, Kuna mtu unakuta anajua Siri Fulani ya mafanikio, akiona wengine wanaijua, anajaribu kuuliza maswali ya kimkakati, ili yule ambaye hajui chochote akija kusoma aone ni kama changamsha genge TU, asiende deeper kutafuta zaidi. Sasa ananufaika vipi, ni Ile kutaka...
  5. Nyambwitu

    Ukweli kuhusu Spirtual awekening au presence of God(author of time, creator)

    Ukiona mtu anaweka kikwazo basi ujue anajua haya mambo, ila Bado ego hajaiachia hivyo hataki wengine wafunguke. Kwa maana nyingine, hataki watu wengine wajue Siri.
  6. Nyambwitu

    Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    Pia kumuona MUNGU ni kama kuona ulimwengu wote kwa mara Moja, ndo mana anasema huwezi kumuona ukaiishi, kwa maana nyingine hakuna kiumbe alichokiumba, kinaweza kustahimili kuona ulimwengu wote kwa wakati mmoja. Note; MUNGU ni chanzo Cha Kila kitu, kumuona ni sawa na kuona Kila kitu kwa wakati mmoja.
  7. Nyambwitu

    Ulimwengu wa roho ni timilifu

    Natamani kuelezea kitu Lakini nashindwa namna ya kuelezea. ila kiukweli kila unachofanya I we kibaya kwa namna ya ufahamu wako, ama iwe unaona ni Chema kwa ufahamu wako, vyote hivyo vilishapangwa tayari na hakuna namna unaweza kukwepa.. Mfano ktk biblia imeandikwa kwamba Yesu alijua kwamba...
  8. Nyambwitu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ahsante.. kumbe kulikuwa na tatizo la kiufundi, kuna mambo walikuwa wanarekebisha.
  9. Nyambwitu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nafahamu jinsi ya kufika hapo.. Ila tatizo nililo nalo, sioni sehemu ya kutoa kwa halopesa.
  10. Nyambwitu

    Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

    🤯.. Kati ya vitu ambavyo huwa sivitaki hata kuvisogelea, kumhudumia mgonjwa mwenye PF3.. In case ukikutana na maswali kama hayo na hauna uelewa wowote wa mambo ya sheria, na haujajipanga vzuri unaweza kujikuta kama wewe ndo mtuhumiwa au mtu ambaye haelewi nn anafanya.
  11. Nyambwitu

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Usikute mwenyewe anafurah anavyoona reaction mbalimbali, reaxn ndo zinapima pia ubora wa story yako, au ni kwa namna gani watu wameipokea.
  12. Nyambwitu

    Brother mpe mkeo vitu hivi atafarijika

    🤣🤣..Ni kuishi nao kwa akili tu, hayo mengine ni nyongeza
  13. Nyambwitu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Code za 🏀zipo🔥... Zikitoa, utapata hata hela ya soda boss
  14. Nyambwitu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni msaada, nahitaji kutoa pesa 1xbet
Back
Top Bottom