Recent content by Nyambiti

  1. N

    Paulo Makonda akiwa kwenye pikipiki bila kuvaa helmet yeye na dereva wake

    Kweli mmeishiwa sana!!! Tafuteni namna nyingine....
  2. N

    Tetesi: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amwangukia Sangoma

    Honestly mimi siyo mshabiki wala adui wa Mlongo Ila ulichoandika, ni wazi kuwa wewe ni mtu nambari moja unayeamini mambo ya Sangoma na ni MTU unayesitahili kupuuzwa katika posts zako zote!!!
  3. N

    Mbabazi: Uganda inahitaji ''Magufuli'' wake

    Huoni hata aibu na Lowasa wako???? Akili imegandiana na Lowasa!!!! kuna chochote cha kumkumbukia Lowasa, huoni akina, Mnyika, Lissu na akina Mdee Lowassa hayuko tena vinywani mwao??? Shame on you....
  4. N

    Waziri Nape Nnauye awasimamisha kazi vigogo wa TBC kutokana na utendaji usioridhisha

    Eti kwa Nape ni chuki binafsi, kama ulivyo wewe na chuki binafsi na Nape...
  5. N

    Unazuia sherehe za Uhuru, unaadhimisha birthday ya CCM

    Naona unajaribu kulinganisha vitu viwili tofauti kabisa!! CCM ni taasisi yenye vyanzo vyake ambavyo havitoki serikalini anayoiingoza Magufuli.
  6. N

    Rais Magufuli azindua mwaka mpya wa Mahakama. Atoa dukuduku la moyoni, hakukuta fedha za Mishahara

    Pole sana kama bado uko na mambo ya uchaguzi, wenzako tumeshapanda meli tunasonga mbele , eti kamanda Mawazo.
  7. N

    Mwenyekiti wa Bunge, Mary Mwanjelwa akataa Hoja ya Mwakyembe

    Wakuu, kwa jinsi post ilivyo, mimi sijapata ujumbe ambao Mdee kasema kupelekea timbwili hilo ila watu mnamchangia kama vile mmeelewa nini Mdee kasema...
  8. N

    Mwenyekiti wa Bunge, Mary Mwanjelwa akataa Hoja ya Mwakyembe

    Mkuu hiyo post mimi sijaielewa, Mdee kasema nini????
  9. N

    Tanzania's Former President, Kikwete appointed as AU Special Envoy to Libya

    Hongera JMK, your success is the nation success! We are behind you!
  10. N

    Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

    Wao wasitishe tu....
  11. N

    Maaskofu waunga mkono jitihada za Rais Magufuli kutumbua majipu na kupambana na watumishi wazembe

    Ulitaka FISADI papa la Richmond ndo liwe Rais, imekula kwenu. Mtalialia saana.
  12. N

    Kubenea muombe radhi Makonda

    Namtabiria Kubeana atazikunja ngumi nje au ndani ya Bunge maana kesha panic baada ya Chama chake kukumbatia Fisadi wakati akijua kuwa yeye alikuwa mstari wa mbele kuuaminisha umma!!
Back
Top Bottom