Recent content by nyamasaka

  1. nyamasaka

    Picha yangu ya leo

    Mi nimekuelewa
  2. nyamasaka

    Jina lako la kichawi

    Please mshana msaada, Cursed Enchantress. Au Morag Mccackle Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nyamasaka

    IGP Simon Sirro azungumzia kuhusu Kibiti, kutekwa watoto na shambulio la Lissu na ofisi za IMMMA

    Nahisi wengi hawakumuelewa Lissu, kwa mujibu wa maelezo yake anawatuhumu Siro na Kipilimba wao ndo wametuma watu. Swali hivi sirro asipotenda haki unapeleka taarifa zako kwa nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nyamasaka

    Kamanda Sirro awajibu waliosusia maiti ya kijana aliyeuawa akihisiwa kuwa jambazi

    Msiwe mnatetea upumbavu, sawa Huyo kijana alikua jambazi ndio, kulikua na ulazima gani wa kumuua mtuhumiwa? Halafu wanajisifia kabisa
  5. nyamasaka

    Jinsi ya ku-highlight sentensi au maneno kwa rangi humu JamiiForums

    Mimi nivbonge la bashite kazi ipooo
  6. nyamasaka

    Utata: Uvamizi wa clouds FM

    Hivi bashite mwenyewe alishawahi kukanusha tukio hilo?kama mwenyewe kakaa kimya wakati anajua kasingiziwa wewe nani ukanushe? Achane kukuza mambo mtatolewa video Nzima mshindwe la kasema . Ruge kaamua kumstahi angalau kidogo wewe unakuja kuchongoa mdomo hapa
  7. nyamasaka

    Kwanini Tanzania hatukai na Rais wetu live na kumuhoji mambo mbalimbali katika TV kama Kenya?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mtoa Mada hadi sasa unatakiwa upitiwe na noa, tafadhali sogea tongwe records mwenyewe, hatutaki usumbufu,.
  8. nyamasaka

    Nadhani ujumbe umefika, hakuna tena mwingine atakayekuja na 'single' ya kejeli kwa viongozi

    Ukiona mwanaume umetukanwa na akakimbilia kutumia jeshi kumtesa alie mtukana , jiulize akipigwa kofi Kama Mwinyi, si atatumia ndege za kivita kabisa? Ushauri Wa bure , Mpeleke hospitali haraka, Mwehu hajipeleki hospitali.
  9. nyamasaka

    Zitto: Kama Rais anaona Bunge ni kikwazo kwake, tufanye uchaguzi upya. Hii si Gangsters Republic

    Kama umemsikiliza JPm hadi wisho utamuelewa zitto.
  10. nyamasaka

    USHINDI WA 2020 UMEPATIKANA LEO

    Mkuu na wewe unatusomesha?!!!! Acha basi unazidi kutuchanganya mkuu.
  11. nyamasaka

    Tunahitaji Mahojiano Baina ya JamiiForums na Rais Magufuli

    Hapana sio kweli, angekua humu asingekua alivyo mkuu.
  12. nyamasaka

    Msaada: Nikiweka TBC 1 Mwanangu analia sana

    Kwikwikwiiiiii, tehteheteheeeeee, Nakufa mimi. Duh mkuu niache mi bado nina hamu ya kuzima namba kwa kijerumani. Usiniueee kwa kucheka.
Back
Top Bottom