Ukitaka msaada usiandike kwa ujumla orodhesha majina ya viwanda, sehemu vinapopatikana ikiwezekana jina la mmiliki wa kiwanda na vitua anavyo fanya ili iwe rahisi kusaidika
Ninahitaji ku improve Kingereza changu kwa sababu nafanya kazi sipati muda wa kujiunga na chuo. Kwahiyo nilikuwa nahitaji msaada wa kupata mwalimu wa kuwa ananifundisha hasa wakati wa jioni. Niko Arusha.
Nahitaji msaada wenu.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kwa sababu umeshatambua kosa na umejutia basi piga magoti kwa imani tubu kwa mungu wako hakika mungu ni mwenye kusamehe, baada ya hapo usiwe na mashaka moyoni mwako amini umesamehewa, na ishi maisha yako ya kawaida kabisa kama hukuwai kutenda jambo Hilo maana shetani anaweza kutumiwa kigezo Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.