Mbona watu mnakuwa maboya kiasi hiki , hv ni nani anayefanya hali iwe tete kule rasi ya Korea ?................
Kila anaye msapoti USA juu ya hili basi amini usiamini ana vimelea vya ushoga mwilini.
Imefika wakati wa kuheshimiana hapa duniani na si wengine kujifanya viranja wa...
***** , mm nauliza kwani tangia mwanzo alokuwa akimtisha mwenzie ni nani kati ya USA na Kim ?.....
Niliwahi sema hapa kwamba , hivi sasa USA anamtishia Kim lkn IPO siku bwa. Mdogo Kim ataanza kuitishie yy USA .......na ndicho kinachotokea .
Plz mashoga USA kaeni kimya maana nyie...
Hii sinema naona imegeuka sasa , mwanzo ilikuwa ni USA ndo alokuwa akimtisha fat boy , now rocket man ndo anaitishia USA .....
Masihara mbali jamani huyu bwana mdogo ni kiboko hasa ya mashoga(USA)
Waambieni hao mashoga wa USA watie timu uwanjani sasa ......tunahitaji dunia yenye usawa na si mambo ya kuamuliana masuala Fulani ........kila mtu afanye lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ishakuwa kasheshe sasa , dogo kaapa kulipa kisasi ktk hili . swali ni je atalipiza kisasi kwa kutumia njia ipi ?.........
Muda ni hakimu wa haki , ngoja tusubiri tuone .
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.