Undava Undava tu: Huku KIDUKU! Huku Iran. Iran wameliamsha Dude

wataalam wa mambo,hivi US anaweza kupigana na nchi ngapi kwa wwakati mmoja zenye uwezo kama wa North Korea au Iran?
Zote, anasogeza tu manowari iliyo karibu. Anachapa huku us wananchi wakila bata. Nashangaa nchi huwa zadai zimemchapa mmarekani wakati kombora zao wenyewe zimegeuza miji yao kuwa magofu.
 
Washabikieni tuu hao kina kiduku na Iran ila wanachotafuta soon or later watakipata, billions kwenye useless missile huku wananchi wako njaa tupu,hawa watu ni hasara tupu

Mwenye akili anaanza na usalama kwanza ndipo awaze mambo mengine ya uwekezaji. Hata wewe ukifungua biashara yako bila kuwaza jinsi ya kulinda mali zako utakuwa unafanya kazi bure. Gadafi aliwekeza kwa wananchi wake lakin leo waporaji wameiyaribu Libya na vyote vilivyo wekezwa vimeharibiwa na wahuni. Kuwaona NK ni wapumbavu kuwekeza ktk ulinz wa nji yao sidhan kama ni hoja kubwa kwa taifa lenye dira ya kwenda mbali. US imeendelea kutokana na uwekezaji mkubwa ktk ulinzi na usalama.
Sehemu iliyo na ulinzi na usalama mkubwa ndiyo inayo endelea kwa siku za mbele. No sweet without sweat
 
USA hapigani na hawezi pigana na North Korea... lakini Lazma Atapigana na Iran..hiyo ni lazma..na ana wasiwasi Iran ananunua technology toka kwa Kiduku...hiyo inamtisha....
Mrusi yuko nyuma ya Iran
Marekani hawezi kupiga Iran bado anakumbuka ya Iraq.

Vita sio yelemama kuna loss nyingi sana kiuchumi kwa hiyo USA anapiga kwenye maslahi tu.
Marekani anaishi kiujanja ujanja na Trump hawezi kuharibu biashara zake kwani baraza lake lote ni matajiri kwa hiyo maslahi mbele.

Hizi ni porojo labda kwa vikwazo na kuwabana tu lakini vita sidhani.

Hapa tutabishana tu lakini mimi najua hivyo.
Kiduku oyee
 
Kama vipi kiduku amuanze trump maana hizi ngonjera za kila siku zishatuchosha
 
***** , mm nauliza kwani tangia mwanzo alokuwa akimtisha mwenzie ni nani kati ya USA na Kim ?.....

Niliwahi sema hapa kwamba , hivi sasa USA anamtishia Kim lkn IPO siku bwa. Mdogo Kim ataanza kuitishie yy USA .......na ndicho kinachotokea .

Plz mashoga USA kaeni kimya maana nyie ndio mloliamsha dudu .
 
Back
Top Bottom