Recent content by Nyamahu

  1. N

    Kama ' Mjeda ' kalipigia Magoti Jiwe Gumu je, ' Njagu ' ni nani nae baadae asiamue Kulamba Kingo za Jiwe hilo hilo?

    Huwezi shindana na mtu ambaye maisha ya watu ili yasogee inategemea maamuzi na utashi wake.
  2. N

    Membe alisahau nini Serikalini?

    Alikuwa amejimilikisha akanyang'anywa? Ebu funguka kidogo mkuu ili na sisi wa huku Rwamiyaga tufahamu.
  3. N

    Ni kwanini sasa miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika iadhimishiwe jijini Mwanza?

    Ngoja tumkumbushe mleta mada. Mwaka 1979 mwalimu aliyapokea majeshi yetu yaliyotoka vitani Uganda katika vita ya kumuondoa nduli Idi Amini aliyekuwa ameivamia sehemu ya nchi yetu huko Kagera katika mji wa Mwanza. Shughuli hii Ilikuwa ya kitaifa lakini haikufanyika makao makuu ya nchi kama mleta...
  4. N

    Pwani: Askari Polisi agoma kusema CCM oyee. Afukuzwa kwenye mkutano na kiongozi wa CCM, aambiwa atakiona

    Rais alishakemea alipokuwa anafungua nyumba za polisi kule Geita alisema wanasiasa waache kutoa kauli za kudhalilisha polisi.
  5. N

    Sauti inayodaiwa ni ya Mzee Makamba na Mwanaye January Makamba kuhusu Waraka

    Wakuja wapi tena mama! Sasa tumehamia Idodyoma maana mulikuwa munatusumbua sana kutuita watanzania wenzenu wakuja.
  6. N

    Sauti inayodaiwa ni ya Mzee Makamba na Mwanaye January Makamba kuhusu Waraka

    Hakika mkuu umenena vizuri, kwamba Nape na Januari tuwachukulie wana sifa za kuzidi vijana wengine walioko ndani ya CCM na wanaomuunga mwenyekiti wao katika kuwatumikia watanzania kuondokana na umasikini na shida zinazowakabili wananchi ni kujidanganya.Na sioni namna watakavyotoka tena kwenye...
  7. N

    Askari magereza wa Butimba Mwanza aponea chupuchupu kunyooshwa

    Kukatishwa haiwezi kuwa sababu ya kukunja ndita na kuongea kusiko na staha mbele ya kiongozi wako.Hata yule askari mpelelezi alikatishwa katishwa alipogusa ishu ya usomali lakini alitulia hicho kikwazo akakivuka. Jamaa anaonyesha ni mbabe balaa mle gerezani.Akataka kuuonyesha hata kwa mkulu...
  8. N

    Askari magereza wa Butimba Mwanza aponea chupuchupu kunyooshwa

    Nani ana confidence sasa! Yule askari magereza alipanic, huwezi sema namna alivyokuwa anaongea ni kujiamini huko.Kama kuna mtu ameongea kwa kujiamini ni yule msomi yule yanki wa magereza katiririka vizuri mpaka mkulu kaguswa moja kwa moja na aliyoongea. Hajaitendea haki rank yake.Hakuonyesha...
  9. N

    Rais Magufuli amteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda, Edwin Mhede kuwa Kamishna Mkuu TRA

    Shida ni kiburi na jeuri nyingi kama kawaida yao.
  10. N

    Askari watwangana hadharani

    Mmezidisha chumvi kuwasifia hawa jamaa. Hao watu hatari, sugu wanafikaje huko gerezani? Kumbuka mtu mpaka kufikia kufungwa ni hatua zipi zinakuwa zimepitiwa hapo katikati. Katika mkondo wa sheria gereza ni chombo cha mwisho kumshughulikia mkosaji.Wapo waliomkamata, amekaa sero za polisi...
  11. N

    Paul Makonda akiwa na Magari yake Picha nyingine ni kituo cha polisi Kakonko

    Mtoa mada lengo lako ni kuonyesha chuki zako dhidi ya Makonda,Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar hicho kituo cha polisi huko Buhige anahusikaje hapo? Kwamba yeye ndiye anayegawa pesa za Serikali kwenda kwenye idara/taasisi zake. Kigoma ina mawaziri,wabunge, maarufu kabisa katika nchi hii vipi...
  12. N

    Ndugai kumfananisha CAG na 'Mbwa' ni tusi zaidi ya mtu kusema 'Bunge lina udhaifu' katika kuiwajibisha Serikali

    Kwa nini na yeye anamng'ata anayemlisha acha ashughulikiwe!!!,tulishaambiwa na watu humu ndani dunia ina kanuni zake,namshauri Profesa afuate kanuni za dunia.
  13. N

    Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Du gari likakataa kuwaka na mbwembwe zote hizo, vipi hukuitwa wewe kuja hapa!!! Sukuma hii gari kwa meno mpaka iwake.
  14. N

    Mahakama yamtaka Zitto kueleza sababu za kutofika Mahakamani jana

    Ina msumbua nini kwani ameibeba kichwani, si bure huyo anatafuta kiki.Kama upelelezi ulikamilika tangu 2017 kwa nini kesi imerudi nyuma, kwani hakimu ana mamlaka ya kusikiliza makosa ya uhujumu uchumi bila kibali cha DPP, kama DPP hajatoa kibali yeye inamhusu nini?
Back
Top Bottom