Mzee elimu ya Bongo pana saana kwa mtu aliefika high school tena michepuo ya sayansi. Tumesoma vitu viiiingi mzee. Mimi mwenyewe huyo tiagesi wako naweza mchalenji na ka microbiology kake, nyie ni Kiingereza tu cha Kijaluo
Hahaa yule jamaa Mkenya ikabidi tumtaftie ka manzi ka Kinondoni ndo kakaanza kumkataza kukaa kishamba na kuvaa manguo na ma viatu ya kishamba. Hawa jamaa sjui ni vp wanazidiwa hata na Warundi kwa Swag
Huo ni uchafu mzee na ni ushambaa, hivi wewe kwa mfano gari yako ya ku bang kitaa unaweza kuifanya hivyo..pisi gani utaibeba labda ukabebe mabwabwa ya Kimombasa. Kubalini tuu sanaa hamuijui Pokots wakubwa nyie
Ushamba tuu..mziki wenyewe hamuujui. Mkenya unataka kunifundisha mimi kuhusu muziki. Hujui toka shule ya msingi sisi twafundishwa mziki. Art muijulie wapi ninyi..unamjua Tingatinga wewe
Duu hawa jamaa mbona wanachafua mabasi yao hivi na marangi rangi! Yaan kulitazama hilo gari tuu kichwa kinauma, ukilipanda sasa na miziki ile ukishuka si unakua mahututi kabisa
Kama usipojali mkuu unaweza kutumwagia hapa huo mchakato wa kuunda biblia ulifanyika vipi na ulifanywa na mapadri, maparoko au maaskofu gani wa Kikatoliki kwa majina kabisa. Naamini kama nikweli utawapata kwa maana Katoliki ni kanisa lililo makini saana ktk kuweka kumbukumbu.
Natanguliza shukurani.
Kwa hiyo ndugu Paroko unataka kunambia maandiko ya Biblia takatifu yamebuniwa na Waromani Katholiki? Hicho ndicho nimekihoji kulingana na alivyo sema ndugu hapo
Unaposema tuu ya kua Biblia ni kitabu kilichobuniwa na Wakatoliki najua na kuhakikisha bila shaka uelewa wako wa Biblia ni mdogo saana. Wewe mtu vipi asee yaani akina Yohana walifukuziwa kisiwani Patmo wakavuviwa maandiko halafu wewe uje useme eti maandiko ya biblia yalibuniwa na Wakatoliki hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.