Wasira anajua nini zaidi ya kutumika? 2005 salm ahmed si mtanzani,si ukabila huo? 2010 slaa katumwa na kanisa, uchaguzi mdogo igunga, cdm wamvua mkuu wa wilaya baibui badala ya kilemba, si udini huo? Kikwete hakuyajua hayo? Na je, alisema nini? Sisi si wajinga hata kidogo! Naomba watanzania...