Unaweza kuuza bidhaa kama izi kwa malipo kadiri unavyouza, kwa bajeti yangu ni malipo ya 150,000 kwa mwezi, ingawaje ukitaka kulipwa kwa wiki pia inawezekana kulingana target tulizowekeana...
Bidhaa yenyewe ni dagaa fresh za kukaanga kutoka Mwanza kuja Dar...Kama zinavyoonekana hapa...