Japhar Bakar
New Member
- Jul 27, 2020
- 2
- 1
Kwajina naitwa Japhar Bakar ninamiaka 23. Elimu yangu ni kidato cha nne tu nilimaliza mwaka 2017. Baada ya kumailiza kidato cha nne nilifanya kazi kwenye duka la baba angu, baada ya hapo nilifanya viwandani mfano kiwanda cha rasta kiliçhopo Mbagala. Ila nimeacha kwasababu kiwanda kilifungiwa na serikali; kwa maana hiyo nipo nyumbani tu sina kazi.
Lengo na madhumuni ya kuandika ujumbe huu ni kutafuta kazi; sijali kazi yoyote mahali popote nitafanya hata niwe house boy nitashukuru sana. Hakika nitafanya kazi kwa bidii sana. Napatikana Dar es Salaam, Kinyerezi.
Kwa mawasiliano zaidi ni 0754303811.
Asanteni sana
Lengo na madhumuni ya kuandika ujumbe huu ni kutafuta kazi; sijali kazi yoyote mahali popote nitafanya hata niwe house boy nitashukuru sana. Hakika nitafanya kazi kwa bidii sana. Napatikana Dar es Salaam, Kinyerezi.
Kwa mawasiliano zaidi ni 0754303811.
Asanteni sana