Recent content by nyakubonga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Wapi kigoma... Emu tuachane na takwimu... Umewahi kusikia mtu anaenda kutafuta maisha kigoma? Hapo kigoma, tukiondoa uchawi na mawese nafikiri mtabaki na ujuaji tu...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Weka takwimu
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Tabora tunapokea waha wanaokuja na pumbu tu, baada ya mwaka wanarudi kigoma matajiri na hawalimi tumbaku... Tabora fursa kubwa ni biashara ya mazao kaka... Ukiwa na mtaji wa kununua mazao na kuweka store hadi mwezi wa 11, umetajirika... Nenda kaliua pale, nunua karanga, mpunga na mahindi weka...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Lete takwimu mkuu... Au nikuamini tu! Sikatai Tabora kuna umasikini... ila tusemwe na watu wa Mbeya, Mwanza, Arusha sio nyinyi wa kigoma kaka...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Nzega, Urambo, Kaliua, kote huko mpunga unalimwa... Tabora ni kimbilio la nyinyi waha... Tunawaajiri kwenye mashamba ya tumbaku... Umepita Igunga na nzega barabarani ukaona Tabora yote iko hivyo sio?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Hiki wanachofanya benki ya CRDB ni unyanga'nyi wa peza za watu

    Hao jamaa ukiachana na habari za wizi, pia ni benki yenye makato mengi sijawahi ona.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Kila la kheri mwana uto... Mungu akupambanie uwe shujaa kwa hao watoto...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    Makomandoo wa simba waweke mifupa ya nguruwe uwanjani... Leo tunacheza na majini watupu... Mtanambia...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mechi ya PSG na Bayern inafanana na Manchester United vs Deportivo la Coruna 2004

    Mkuu... Ile mechi ilikua uchuro kwa mpira wa ulaya... Barcelona alibebwa waziwazi...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mechi ya PSG na Bayern inafanana na Manchester United vs Deportivo la Coruna 2004

    Hahaha manina wallah
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mechi ya PSG na Bayern inafanana na Manchester United vs Deportivo la Coruna 2004

    Kama kweli wewe ni mchambuzi... Tuwekee audio hapa ukilitamka kwa usahihi jina la namba 7 wa PSG... Asante.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Mimi ni Chelsea ila mwaka huu Arsenal anabeba UEFA na League.
Back
Top Bottom