Recent content by nyakubonga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Salaam kwa wadau wa jukwaa la kilimo

    Asante brother
  2. N

    JamiiForums Tanzania Wasira: CHADEMA wanasema hawataki maridhiano, wanafikiri wao ndio tunataka kuridhiana nao

    Ok ni wewe... Sawa.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Iran imepiga jengo la CIA Uarabuni, Marekani yailaumu Urusi kuwa imeisadia Iran Taarifa za kupiga

    Jamaa wamepiga hesabu wakaona hakuna namna dogo(Iran) angejua site yao...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Salaam kwa wadau wa jukwaa la kilimo

    Mashamba yanapatikana kwa bei gani hapo mwese mkuu... Na vipi barabara kuleta mazao mpanda ziko vizuri?
  5. N

    JamiiForums Tanzania TBT

    Endelea sister, twajifunza.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wasira: CHADEMA wanasema hawataki maridhiano, wanafikiri wao ndio tunataka kuridhiana nao

    Mkuu wewe ni Pohamba? Nakumbuka naye alikua ni mtu anayeonekana kujua mengi ila hakuisha kuandika ujinga humu... Kuna wakati alidiriki kumfananisha Kikwete na Nyerere... Ndio wewe? Maana mambo mengi mnafanana.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Wanaogopa jeshi la shehe Mwaipopo...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mkoa unakosa maadili kama Dar?

    Hii niliikuta Mwanza asee
  9. N

    JamiiForums Tanzania Bukina faso: Ibrahim Traore kuwarejesha nyumbani wanafunzi waliokwenda Saudia Arabia kujifunza Sharia za Kiislam

    Haha msaada wa mwarabu ni Tende, nyama ya ngamia na kujengewa msikiti...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Bukina faso: Ibrahim Traore kuwarejesha nyumbani wanafunzi waliokwenda Saudia Arabia kujifunza Sharia za Kiislam

    Navuta picha shekh Mwaipopo angekua na elimu yoyote ya sayansi angekua mtu bora sana...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    No comment.
  12. N

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA waja na mkeka wakuchangia chama kutoka kwa wananchi

    Hawa jamaa ni matapeli na mshipa wa aibu umeshawatoka...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Usajili wa Ibrahim Jabeer kuja simba ni kweli?
  14. N

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Mkuu Pasco naheshimu maoni yako... Lakini nijuavyo utaratibu wa CCM raisi mstaafu na aliye madarakani huwa na nguvu kwenye uteuzi wa rais ajaye... Angalau kipindi cha nyuma kulikua na wastaafu waadilifu kama Mwinyi na angalau Mkapa... Kwasasa mstaafu ni Kikwete pekee... Aliyepo ni Samia...
Back
Top Bottom