Asee nimetetemeka sana...
Naogopa kukwambia huenda hiyo kampuni inashirikiana na watu wa Gaming Board kukutapeli...
Inasikitisha ila ukweli ni kwamba kwa nchi yetu ilipo una nafasi ndogo sana ya kupata pesa yako...
Nakushauri upige kelele kila sehemu, mitandao yote utapata msaada, watu...
Yule ni mtu wa Yanga, acheni kukwepa ukweli...
Mwandishi ampige ngumi kocha kwasababu gani? Awachafue Yanga mna nini?
Yanga siku zote ni wahuni, matukio mengi ya marefa kupigwa wahusika hua ni Yanga.
Sisi tulingoa viti tukiwa na sababu ya msingi...
Yule jamaa wa jana alikua na sababu gani kufanya tukio lile? maana kama kubebwa ni Yanga ndo walibebwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.