Hapa ndio mjadala wangu na choice ulianzia...
Kama lengo la serikali ni kumsaidia mkulima, hiyo ruzuku ilipaswa iwe kwenye mkopo...
Wakulima wengi wa tumbaku hawana uwezo wa kununua mbolea kwa Cash...
Ruzuku imetumika kama daraja kuwanufaisha wafanya biashara wa mbolea(sponsors wa sasa wa...
Mkuu Tabora umeenda lini?
Usijibu kisiasa, watu wanaumia kule!
Usifikiri watavumilia siku zote...
Kipindi cha Magu mbolea ilikopwa kwa 80000 NPK bei ya kununulia ilikua hiyo hiyo au chini zaidi...
Asante japo siku kulenga wewe...
Kama uko Tabora na umeona hali ya wakulima wa tumbaku ilivyo...
Unaona lengo la serikali ilikua kumnufaisha mkulima?
Hapo ulipo, ni wakulima wangapi wanaweza kununua hiyo mbolea kwa Cash?
Hiyo ruzuku ilikua ni mtego kwa wakulima ili wakishindwa kununua tuseme...
Afisa...
Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima?
Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/=
Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi...
Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi...
Kwa mtu...
Afisa...
Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima?
Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/=
Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi...
Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi...
Kwa mtu...
Afisa...
Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima?
Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/=
Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi...
Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi...
Kwa mtu...
Umeanza kushituka sio?
Subirini hadi nchi ibaki inawategemea Kikwete na wa aina yake kama think tanks...
Tatizo la hii nchi ni hawa wanaojiita Usalama wa taifa.
Ccm kama vilivyo vyama vingine ni poli...
Lina wanyama aina zote mkuu, wazuri na wabaya...
Huwezi kufananisha Lukuvi na Kikwete, Lukuvi na Makamba, Lukuvi na Nape...
Hapo Lukuvi atabaki na nafuu kuliko hao wengine...
Wasiwasi wangu, ni kwanini wanaonekana wana nafuu ndani ya CCM ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.