Recent content by nyakubonga

  1. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Hapa ndio mjadala wangu na choice ulianzia... Kama lengo la serikali ni kumsaidia mkulima, hiyo ruzuku ilipaswa iwe kwenye mkopo... Wakulima wengi wa tumbaku hawana uwezo wa kununua mbolea kwa Cash... Ruzuku imetumika kama daraja kuwanufaisha wafanya biashara wa mbolea(sponsors wa sasa wa...
  2. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Ngoja nimsubiri Choice... Yeye anajua tulikoanzia, wewe naona unaleta siasa mkuu wangu.
  3. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Mkuu Tabora umeenda lini? Usijibu kisiasa, watu wanaumia kule! Usifikiri watavumilia siku zote... Kipindi cha Magu mbolea ilikopwa kwa 80000 NPK bei ya kununulia ilikua hiyo hiyo au chini zaidi...
  4. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Asante japo siku kulenga wewe... Kama uko Tabora na umeona hali ya wakulima wa tumbaku ilivyo... Unaona lengo la serikali ilikua kumnufaisha mkulima? Hapo ulipo, ni wakulima wangapi wanaweza kununua hiyo mbolea kwa Cash? Hiyo ruzuku ilikua ni mtego kwa wakulima ili wakishindwa kununua tuseme...
  5. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Afisa... Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima? Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/= Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi... Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi... Kwa mtu...
  6. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Afisa... Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima? Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/= Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi... Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi... Kwa mtu...
  7. N

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Afisa... Ulifuatilia kuhusu mbolea za ruzuku kunufaisha wafanyabiashara kuliko wakulima? Nilikwambia mkulima wa tumbaku pale Tabora anakopa mfuko mmoja wa NPK kwa zaidi ya 150,000/= Wakulima waliambiwa ruzuku ni mkombozi... Matokeo yake, kama huna Cash ruzuku haifanyi kazi... Kwa mtu...
  8. N

    Tuandae muongozo wa namna ya kuongoza Taifa pale ambapo Taifa litakapopoteza "Think Tanks"

    Umeanza kushituka sio? Subirini hadi nchi ibaki inawategemea Kikwete na wa aina yake kama think tanks... Tatizo la hii nchi ni hawa wanaojiita Usalama wa taifa.
  9. N

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Katavi - Steve mweusi, Wanani, Kidege Mara - Ndaro(sina uhakika)
  10. N

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kama utani 😂😂😂
  11. N

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kama utani 😂😂😂
  12. N

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Hatimaye... Leo umeandika kabla uwendawazimu haujakuingia.
  13. N

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Ccm kama vilivyo vyama vingine ni poli... Lina wanyama aina zote mkuu, wazuri na wabaya... Huwezi kufananisha Lukuvi na Kikwete, Lukuvi na Makamba, Lukuvi na Nape... Hapo Lukuvi atabaki na nafuu kuliko hao wengine... Wasiwasi wangu, ni kwanini wanaonekana wana nafuu ndani ya CCM ndio...
  14. N

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Viongozi wazuri wanapukutika sana utawala huu... Ni coincidence? Rest easy Lukuvi.
  15. N

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Kana Camel toe pussy matata sana haka...
Back
Top Bottom