Recent content by nyakubonga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Mungu akusaidie Joanah
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Simba ni wahuni sana, hivi wanaelewa hata wanataka nini?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Anacheza nafasi gani?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Ukizubaa utafungwa, atakushitaki kwa kumchafua maana huna ushahidi.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Unaweza kufuta hii ili tuendelee na mjadala kwa kuheshimiana?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Wabongo kwenye uaminifu ni tatizo... Kuna jamaa anataka kunidhurumu elfu 70 kwa dharau sana... Hapa nina option 2.. 1. Nitumie 70 elfu kumfuata alipo ili nimalizane nae kiume 2. Nimshitaki.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Hayajawahi kukukuta mkuu... Hakuna kitu kinasumbua kama kutoa msaada na kuonekana hujafanya chochote... Hao jamaa walikua na vipaji vyao, na huenda wengine walikua hawajui kama wanaweza kuchekesha... Shukran ni neno dogo sana... Ukikosa shukurani hata kwa kidogo watu wataogopa kukusaidia...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Huenda Magori ni Pandikizi la Yanga pale msimbazi?

    Nyoko.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Unapomsaidia mbongo hakikisha umeandaa na sehemu ya kulilia... Si unaona Harmonize na Mond... Mtu ambaye hajui story yao anaweza kuona Harmonize anaonewa...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Sera za Kilimo za Samia zawezesha Ongezeko la Matumizi ya Mbolea kwa asilimia 211% Kutoka Tani 264,000(2021/22) Hadi Tani 1.2 Milioni(2025/26).

    Tutamkumbuka kwa kufanya mfuko wa Npk ufike dollar 74... Karibu Tshs 192000 kwa mfuko mmoja.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Kwahiyo kosa la Simba ni kutokumshangilia na kumzomea Samia?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Upotoshaji, Britanicca hakuanza kumkosoa Samia, bali kuanzia kwa Jakaya na Magufuli nao walikaangwa

    Hapa una verify nini sasa? Unafikiri Makebo atakuelewa kwa post hii? Unazijua akili za muislamu aliyekosa elimu dunia? Unaamini profesa Issa Shivj anaweza kufanya anayofanya Makebo ? Shivj ni muislamu kama Makebo
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Wazee hivi mnaujua ukimwi? Hivi mnaijua stress ya ukimwi nyinyi? Ukimwi ni mbaya sana,Mungu tusaidie.
  14. N

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Tukubali leo Yanga walikua bora kuliko sisi.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Mhubiri afukuzwa akiwa anahubiri Kariakoo, kwa madai ya kuleta usumbufu kwenye biashara

    Huyo mama amefanya kosa... Huyo muhubiri amefanya kosa kufuata amri isiyo halali ya huyo mama... Hakuna mtanzania mwenye haki ya kuabudu kuliko mwingine, sehemu yeyote... Huyo mama anataka kuifanya kariakoo ni Zanzibar mpya? Haikubaliki.
Back
Top Bottom