Recent content by nyakubonga

  1. N

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Singida amecheza na wafyatua matofali...
  2. N

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Hivi Yanga kuna kitu mnajifunza leo?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Dodoma na Arusha zinajengwa sana kipindi hiki...
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Asee nimetetemeka sana... Naogopa kukwambia huenda hiyo kampuni inashirikiana na watu wa Gaming Board kukutapeli... Inasikitisha ila ukweli ni kwamba kwa nchi yetu ilipo una nafasi ndogo sana ya kupata pesa yako... Nakushauri upige kelele kila sehemu, mitandao yote utapata msaada, watu...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Sasa mbona ulirusha ngumi ukakimbia kama nyinyi ni wababe zaidi?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Yule ni mtu wa Yanga, acheni kukwepa ukweli... Mwandishi ampige ngumi kocha kwasababu gani? Awachafue Yanga mna nini? Yanga siku zote ni wahuni, matukio mengi ya marefa kupigwa wahusika hua ni Yanga.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Lema ndio mwakilishi wa wachaga? Ni lini Chadema (taasisi) ilitoa waraka kwamba haiwataki wazanzibari, waislamu na watu wa pwani?
  8. N

    JamiiForums Tanzania 40 ya Sandra - Mtoto wa Diamond (Kuna Wanaume Soda zao hazina Gesi)

    Kanzu haina tofauti na shuka la masai... Kanzu(mwarabu/mashariki ya kati) Shuka(masai) Hilo ni vazi la kitamaduni sio vazi takatifu.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Sisi tulingoa viti tukiwa na sababu ya msingi... Yule jamaa wa jana alikua na sababu gani kufanya tukio lile? maana kama kubebwa ni Yanga ndo walibebwa...
  10. N

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Simba guvu moya... Tunaendeleza tulipoishia...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Hakuna shabiki wa Simba mwenye tabia hizo... Mfungiwe tu ikibidi muondolewe kwenye mashindano mpigwe na faini kubwa sana...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Harmonize; Sitaki kusikia eti wasafi na Diamond ndo wamenitoa kimuziki

    Shukrani ya Punda mateke... Kuna watu waliamini Harmonize hajui kuimba, Mond aliona tofauti... Leo unaleta dhereu? Fala ni fala tu.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Hapo tunalisubiri jabari la siasa za kinafiki Zitto Zubeir Kabwe tufunge mjadala.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Duchu: Jina ni langu natamba nao, suala hili lipo kwenye mikono ya sheria, kazini wamechukua hatua

    Huyu dogo anaonekana hafadhiliki.
Back
Top Bottom