Wapi kigoma...
Emu tuachane na takwimu...
Umewahi kusikia mtu anaenda kutafuta maisha kigoma?
Hapo kigoma, tukiondoa uchawi na mawese nafikiri mtabaki na ujuaji tu...
Tabora tunapokea waha wanaokuja na pumbu tu, baada ya mwaka wanarudi kigoma matajiri na hawalimi tumbaku...
Tabora fursa kubwa ni biashara ya mazao kaka...
Ukiwa na mtaji wa kununua mazao na kuweka store hadi mwezi wa 11, umetajirika...
Nenda kaliua pale, nunua karanga, mpunga na mahindi weka...
Nzega, Urambo, Kaliua, kote huko mpunga unalimwa...
Tabora ni kimbilio la nyinyi waha...
Tunawaajiri kwenye mashamba ya tumbaku...
Umepita Igunga na nzega barabarani ukaona Tabora yote iko hivyo sio?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.