Mkuu wewe ni Pohamba?
Nakumbuka naye alikua ni mtu anayeonekana kujua mengi ila hakuisha kuandika ujinga humu...
Kuna wakati alidiriki kumfananisha Kikwete na Nyerere...
Ndio wewe? Maana mambo mengi mnafanana.
Mkuu Pasco naheshimu maoni yako...
Lakini nijuavyo utaratibu wa CCM raisi mstaafu na aliye madarakani huwa na nguvu kwenye uteuzi wa rais ajaye...
Angalau kipindi cha nyuma kulikua na wastaafu waadilifu kama Mwinyi na angalau Mkapa...
Kwasasa mstaafu ni Kikwete pekee...
Aliyepo ni Samia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.