Hayajawahi kukukuta mkuu...
Hakuna kitu kinasumbua kama kutoa msaada na kuonekana hujafanya chochote...
Hao jamaa walikua na vipaji vyao, na huenda wengine walikua hawajui kama wanaweza kuchekesha...
Shukran ni neno dogo sana...
Ukikosa shukurani hata kwa kidogo watu wataogopa kukusaidia...
Unapomsaidia mbongo hakikisha umeandaa na sehemu ya kulilia...
Si unaona Harmonize na Mond...
Mtu ambaye hajui story yao anaweza kuona Harmonize anaonewa...
Hapa una verify nini sasa?
Unafikiri Makebo atakuelewa kwa post hii?
Unazijua akili za muislamu aliyekosa elimu dunia?
Unaamini profesa Issa Shivj anaweza kufanya anayofanya Makebo ?
Shivj ni muislamu kama Makebo
Huyo mama amefanya kosa...
Huyo muhubiri amefanya kosa kufuata amri isiyo halali ya huyo mama...
Hakuna mtanzania mwenye haki ya kuabudu kuliko mwingine, sehemu yeyote...
Huyo mama anataka kuifanya kariakoo ni Zanzibar mpya?
Haikubaliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.