Usiwe mpuuzi upinzani ni kwa faida ya nchi na maendeleo yake.Tunahitaji upinzani wenye nguvu ili kuleta maendeleo.Nchi inahitajika itoke hapa ilipo kwa manufaa yetu sote.Tusiendekeze ushabiki usio na tija
Mbona huzumzii wasukuma mbona wamepiga kura kikanda tuache kuwa biased tuwe fair. Tukianza kuwazungumzia watu wa Kaskazini kiubaguzi mambo hayatakuwa sawa.kwani ni dhambi kuchagua chama kikingine ambacho si ccm.mbona kule ambako ccm wamechukua majimbo yote hatusemi kuwa wamepiga kikanda.this is...
It was mis calculations tungepata taarifa hizo mapema zingesaidia kidogo.Ila ni vigumu kuhalalisha Richmond kuwa ni wizi bila kusema escrow ni nani.Jana ningefurahi sana kama mkuu wa nchi angetuambia escrow ni ya nani.maana wizi wa escrow ni mkubwa kuliko wa Richmond.
Impunity nchini imedhihirishwa jana na kiongozi mkuu wa nchi kwa kutuambia Lowasa alikuwa hakamatiki anaogopwa na kila mtu kiasi kwamba tunasubiri uchaguzi ndio tumshitaki kwa wananchi.Kwa maoni yangu ni kwamba hotuba ya jana imemjenga zaidi Lowasa kuliko kumbomoa. Atapata kura nyingi leo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.