Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani...
Sijui kwa nini nimesoma huu Uzi, nasoma nalia dah!
Apumzike kwa amani mama.
Pole mkuu.
Binafsi sina baba maisha yangu ya ukubwani sikuwahi kuita jina baba.inauma lakini, Mungu ni mwema ana sababu.
Kwani Maaskofu na viongozi wengine ni kina nani mbele ya Mungu? Aliyebora mbele ya Mungu ni Mcha Mungu tu na sio cheo chake. Wanatakiwa na wao wawajibike kama waumini wengine ili wajitengenezea ufalme wa Mbinguni, hili suala la kuitana watakatifu hapa duniani linawafanya wajisahau sana. Magufuli...
Kila kitu kinawezekana ila mimi pesa yangu imekataliwa. Kwa bahati nzuri DSO wa Wilaya ninayoombea silaha ni mtu wangu wa karibu na ameshindwa kunisaidia, amesema openly kuwa hana uwezo nisubiri tu kwakuwa Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ndiye pekee...
katika mchanganuo huo kuna silaha mbili, pistol hapo ni 2.5m, hii ni ile ghari sana, kuna zingine ziko chini ya hapo inategemea aina gani unahitaji na uwezo wake kwahiyo unamudu tu kutokana na mfuko wako.
It is okay, ni kuwa mpole tu, ila chunga asije mtu akakwambia utoe pesa ili akuharakishie, hakuna kitu kama hicho, kwa kuwa utaratibu uko very systmatic hakuna mtu mmoja anayeweza kufanya maamuzi. siku hizi wapo strict kwakuwa silaha nyingi zinaishia mikononi mwa maharamia hivyo wako makini...
Badilisha life style yako. Mazoezi, piga jogging sana, jogging inakata uzito, piga mazoezi ya kukata tumbo kila siku. Badili mlo wako. Mimi nikaamka nakunywa maji ya moto, then ninapiga jogging 8 kms everyday in the morning, baadae nakula matunda na glass moja ya maziwa.
Mchana nakula lunch ya...
Kaka utaratibu ni kununua kwanza then unaomba kibali cha kumiliki silaha. Mimi nipo kwenye hatua hizo lakini ni ngumu sana siku hizi na kuna urasimu sana. Nimenunua silaha toka July pale Tanganyika Rifle, nikajaziwa fomu pale nikaenda kwa kamati ya ulinzi na usalama ngazi ya mtaa na kata...
Okay so she is there just to make you happy with no future with you. If she could have been your daughter, would you have been happy for her to be used and then dumped the way you do to that particular young lady?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.