Recent content by Nyakabindione

  1. N

    Je, wakati umefika tuikubali Bodi ya Kitaaluma ya Walimu?

    @balimar nakushukuru sana. Huu naamini utakuwa mjadala mzuri sana. Nimependa wazo lako ni nimelichukua na kulitupia katika group moja la walimu ili niweze kusikia mawazo yao pia.
  2. N

    Je, wakati umefika tuikubali Bodi ya Kitaaluma ya Walimu?

    Mjadala mzuri. Mimi binafsi nashindwa nichangie namna gani sababu SHERIA yenyewe inayoianzisha TTPB sijaiona. Naomba kama kuna mdau anayo aitupie hapa tuweze kuimwaga.
  3. N

    Tumwache Hayati Magufuli apumzike

    TUMWACHE JPM APUMZIKE Taifa lilipatwa na msiba mzito tarehe 17 Machi 2021 kwa kupotelewa na kiongozi wake shupavu, Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli. Kwa hakika, huu ni msiba mzito kwa taifa. Ni msiba mzito kwa sababu haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu rais...
  4. N

    Naomba ufafanuzi kuhusu mikataba ya Serikali

    Habari za leo wataalamu wa sheria. Kabla sijaandika swali langu, naomba niweke wazi kabisa kwamba mimi si mjuvi wa mambo haya ya sheria. Lakini kama rais mwema, napenda sana kujifunza maswala mbalimbali ya kisheria. Swali langu ni: Je, mikataba ya serikali (yaani serikali inapoingia mkataba...
  5. N

    Mwigulu Nchemba kuondolewa unaibu katibu mkuu CCM

    Umeanza kueleza vizuri ila umeharibu ulipojitanabaisha kuwa wewe ni Mwigulu partner....nmeshindwa kuendelea kusoma thread
  6. N

    utambulisho

    hodiiiiii am i welcome?
  7. N

    African Satellite World and Sat Gear

    kungu1. I have a 65cm zuku dish and a DBS zuku decoder with preprogrammed satellites but I want to add more satellites in the decoder. Is it possible? If yes. how can I go about it?
Back
Top Bottom