Recent content by nyaka boy

  1. N

    Magufuli ondoa bugudha ya kuchelewesha ajira za walimu

    ajira ni muhimu hata kama ni october mwakani wataajiri tu na haijarishi ni art au sayansi wote wataajiriwa kama wa art wangekuwa hawaitajiki basi vyuo visingekuwa vinawachukua lakn mpaka leo vyuo vipo na vinawadahiri , kama huna cha kusema bora usiwachokonoe wenzio usikie watasema nini muda...
  2. N

    Bado Lowassa ana nafasi kubwa ya kushinda

    ww hujielewi et inamaana walio mpigia lowasa siyo watanzania? halafu unaweza kuwa ni mkimbizi ww
  3. N

    JKT na AJIRA kwa walimu wanachuo walohitimu mwaka 2015.

    ajira zenyewe zipo 2 ijapokuwa kunatetesi kibao mtaani kuwa mwezi wa tisa zitatoka, na baadhi ya watu wanazungumza kwa kujiamini kabsa wakisema halmashaur zimeshapewa taarifa kuhusiana na ajira hizo za mwezi wa tisa ili wajiandae.
  4. N

    Ajira kwa walimu kabla ya uchaguzi?

    hivi ww umeona thread inahitaji ushauri? hilo ni swali kama huwez unakaa kando na sikila anae weka ni mwalimu no tunawasaidia tu walimu kama ww hivyo wanao sumbua mitaani.
  5. N

    Ajira kwa walimu kabla ya uchaguzi?

    Nikweli kuwa walimu wa diploma waliomaliza chuo mwaka huu na wadegree watakaomaliza mwaka huu kuajiriwa kabla ya uchaguzi? Msaada wenu tafadhari wana JamiiForums.
  6. N

    Matokeo ya ualimu 2015 yanatoka lini?

    Muda wowote ktk mwezi huu
  7. N

    Ajira kwa walimu

    kunatetesi kuwa raisi kikwete ataondoka madarakani kapunguza tatizo la walimu, je ataajili walimu wengine tena mwaka huu ,mchango wenu wadau.
  8. N

    Wilayani Mbozi, Waalimu wachangishwa Tsh 3000/= ya mafuta ya Mwenge

    wameona kodi wanayo wakata haitoshi mpaka wanaingia na kuwachangisha jamani huluma kidogo kwa walimu.
  9. N

    Post za kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2014/2015

    unampa moyo mtoto au? angalia unae mwambia
  10. N

    msaada jamani

    napenda kuulizakuwa post za ualimu zinatoka lini? maana vyuo vimeshafunguliwa
  11. N

    Hii ni zaidi ya TOO MUCH sasa tunahitaji selections

    Kuweni na subira vijana mambo mazuri hayaitaji haraka.
Back
Top Bottom