Watendaji wabovu serikalini ni matokeo ya elimu yetu huko vyuoni, eti mkufunzi anakwambia future yako iko mikononi mwangu. Dr Magufuli, our education is the root cause of all these upuuzi unaoendelea sasa huko maofisini. Just imagine kama mtu anafaulu kwa kununua pepa ama kwa mbinu zingine pasipo kusoma na hatimaye anafanikiwa kupata post ktk ofisi nzuri na mshahara mzuri, kwake kupokea ama kutoa rushwa inakuwa kama kusuma mlevi maana amezoea hivyo. Naamini mzee wetu Lowassa aliona uzito wa hiki na kuja na kipaumbele cha Elimu Elimu Elimu.
Huko vyuoni watu hawafundishwi tena kufikiri na kutatua matatizo kwa elimu wanayoipata, kilicho baki kwa sasa ni kukariri na kuiba mitihani.