Anza na afisa utumishi, maana yeye ndo huwa anatoa kibali mtumishi kupewa mkopo au asipewe.. Hivyo ana mamlaka fulani ya kuwahoji kwa nini wameenda kinyume na makubaliano.
NB
CRDB wamejaa matapeli.
Umeona sasa ulivyo kuwa huna akili kichwani, huwezi kutoa komenti bila kutoa lugha ya maudhi au ndo madrasa mnajifunza kutukana watu?? ...??
Aliye sema Nyerere aliazisha chama cha TAA ni nani ??
We jamaa ni muongo sana,
Nyerere aliacha kazi ya shule, kwa sababu hakutaka shughuli zake ziendelee kuleta matatizo kwa wamisionari ambao waliokuwa wamemwajiri na si vinginevyo, hayo masuala ya kusema alifukuzwa huo ni uongo.
Kabla ya ukoloni, kulikuwa tayari kuna na elimu ya Kiislamu...
Mda mrefu tu sema nilikuwa naogopa kukwambia, au unataka nikuazishie thread sasa hivi?? .
Udhaufu wangu ni kwako tu ShesRise_1, ni sawa na mtu aliye kwenye kina kirefu cha maji hakika ni wewe wa kuniokoa😍😍
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.