1. Shida ya tabora, bunduki za jadi zipo nyingi sana, na muingiliano wa watu waovu ni mkubwa sana.
2. Vijana hawataki kufanya kazi ngumu, wanapenda mteremko balaa, ukiwa na pesa kuwamiliki wanyamwezi ni simple sana.
3. Vijana wa tabora, nilikuwa nawanunulia bangi ndoo zima kisha nawakabidhi...
Napingana na wewe mkuu, uwekezaji wa ardhi ndo kila kitu, hizi biashara za kufungua sijui duka, au kununua magari ya usafiri kuna mda unaweza kuwa maskini ndani ya lisaa limoja.
Uwekezaji wa kwenye ardhi utakula mda mrefu hata kama huna nguvu za kufanya kazi, upo na ulemavu na mengineyo. kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.