Recent content by Nyafwili

  1. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Pombe sio chai 🤔

    Kwa hiyo ulisahau kifaa guest 🤔🤔
  2. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Hao watapita njia za "wapita kwa miguu" 🚶 🚶 😂
  3. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Unawaza kwanini huolewi au huoi, kumbe uliolewa na kuoa ukiwa mdogo

    Mshana Jr ,tusaidie hapa kwenye tafsiri za picha. Maana 😂😂😂
  4. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania HOJA Maji mengi ya Kampuni hizi kubwa nahisi yana harufu flani ambayo si nzuri

    Akili yako ina uwezo mdogo sana wa kufikiria.
  5. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania HOJA Maji mengi ya Kampuni hizi kubwa nahisi yana harufu flani ambayo si nzuri

    Changamoto sana mkuu, tunauana wenyewe kwa wenyewe. Kuna kiwanda kimoja kilikuwa kinatengeneza juice, ukiiweka kwa mda mrefu ina settle chini particles kama uji hivi.
  6. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania HOJA Maji mengi ya Kampuni hizi kubwa nahisi yana harufu flani ambayo si nzuri

    Ma boss wa Tz uroho ni mwingi sana, yawezekana tunauziwa maji ya mto ruvu, bila kuwekwa ingredient yeyote ile.. 🤔 🤔.
  7. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanaosema Ukristo sio dini huwa wana maana gani?

    Wengi wao, akili kichwani mwao huwa ni Pungufu. Ndo maana mda wote kukashfu ukristo.
  8. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Kwa hiyo umeamua ukimbilie ChatGPT kuchukua ya kuandika , 😂😂
  9. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Hii meseji hii, inasikitisha sana

    Una points sana mkuu
  10. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Nataka nidundulize kuweka akiba kidogo kidogo pesa na baada ya miaka mitatu ndio niichukue. Ni service gani hapa bongo itanipa riba nzuri.

    Wekeza fund 🔥🔥🔥 https://fas.whi.go.tz/authentication/self-registration
  11. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Kifaa cha kupimia Pressure bei poa sana

    Machine zuri za B/P ni manual, siyo hizi automatic
  12. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Hii kampuni jau sana, wafanyakazi wengi ni wakenya.
  13. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Mambo 20 ya kipekee usiyoyajua kuhusu Tanga

    Hapo dasa-lamu, mfumo wa maji taka walijenga wa lugha lugha, jiji lote linanuka.
Back
Top Bottom