Recent content by Nyafwili

  1. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Na bahati pia zinachangia mkuu.. Kuna wengine ili afanikiwe lazima a-hustle kwa jasho, ila kuna wengine wakipanda hata mkaa unatoa 😊. Siku zote huwa nasema: kama kuna kitu huwa unakiamini kwenye maisha yako, jaribu kukishirikisha kila hatua ya mapambano. 🤝
  2. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    ✅ Hiyo typing error tu mkuu 👆, sikuwa na maana hii hata kidogo. 🤝 Mbona ✅ Kumbuka natumia Keyboard yenye auto correct, so ku change sentence ni jambo la kawaida sana. Okey twende kwenye mada, hakuna mtu asiye jua kuwa hujasoma, ila competition ya watafutaji wa hiyo kazi ndo Husababisha...
  3. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Wengi hawalijui hili, huwa wanahisi wote wanatoka utumishi kitu ambacho siyo kweli . So pale wanakupima je akiungana kwenye train letu hili ataweza kumudu ??
  4. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Hiyo scenario nimetolea tu mfano, kuwa kuna factor kadhaa zinaweza kukudondosha kwenye usaili. Mfano unahojiwa wewe mda wote umeiangalia chini ( unawaonea aibu). Hapa zero score 0% inakuhusu.
  5. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Yes, Written ina mambo mengi pengine aliingia na miwan yenye AI watajuaje 😄,
  6. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Kuendesha utaendesha ila alama za barabarani zitakushinda kuzitambua na utasababisha ajira mbaya sana na kuua maelfu ya watu 😢 . ( maana huijui,, ungekua unazijua ungewaeleza ma-officer kwenye mahojiano ) Kuna jamaa alipewa ndizi na msimamizi kwenye ROUNDABOUT huku akiendesha gari. Na...
  7. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    . Kitu inabidi ujue kuwa Wanaokufanyia usaili wa mahojiano huwa ni mwaajiri/waajiri wako na siyo PSPRS/utumishi. ( mkuu wa idara na watumishi wakonge ndo huwa wanahoji usaili wa mahojiano) . Ila kwenye written wasimamizi huwa ni PSPRS
  8. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Hiyo ni disability ya mtu, huyu ata onekana tu kuwa kujieleza anaweza isipo kuwa uumbaji wa Mwenyezi mungu ndo shida. huko college mlikuwa munafundishwa kwa kiswahili mkuu? 😁
  9. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Ajira ni mchakato mkuu, ukishindwa kujieleza maana yake hujui unachoenda kukifanya baada ya kuajiriwa.
  10. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Una degree Moja, unachagua kazi, thermometer ina degree mia, inamfanya kazi kwenye kwapa✌️

    Wapi nimepiga kelele mkuu, huoni hapo nilikuwa nakupiga msasa ili ukae kwenye msitari..
  11. Nyafwili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempenda jirani yangu, nifanyeje?

    Naomba uwe mke wangu 😊😊
  12. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Bangi haina shida kabisa mkuu
Back
Top Bottom