Recent content by Nyafwili

  1. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Twende kwenye points, hayo mengine ni makelele tu.. Tunacho hitaji ni haki, siyo makelele ya Akina mwaipopo na wadini wengine.
  2. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Umeona sasa ulivyo kuwa huna akili kichwani, huwezi kutoa komenti bila kutoa lugha ya maudhi au ndo madrasa mnajifunza kutukana watu?? ...?? Aliye sema Nyerere aliazisha chama cha TAA ni nani ??
  3. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Kwa hiyo unamuamini nani. Au ndo akili yako inafuata upepo??. Jitahidi kufikiria nje ya box.
  4. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    We jamaa ni muongo sana, Nyerere aliacha kazi ya shule, kwa sababu hakutaka shughuli zake ziendelee kuleta matatizo kwa wamisionari ambao waliokuwa wamemwajiri na si vinginevyo, hayo masuala ya kusema alifukuzwa huo ni uongo. Kabla ya ukoloni, kulikuwa tayari kuna na elimu ya Kiislamu...
  5. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Walikuwa vibaraka kwenye sekta ipi labda?? 🤔 🤔
  6. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Bado wenye akili chache kichwani, watakujibu hapa kuwa KITIMA hampendi sa100. 😊😊😊
  7. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Bhange haipo hivyo mkuu. Nina experience nayo... Ukiiacha nayo inakuacha..
  8. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Kumbe Zanzibar hawana mchango wowote kwenye pato la Taifa. Inaumiza sana.

    Zenji ni kama kupe tu, kazi yao kushinda kwenye mwili wa ng'ombe kunywa damu.
  9. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Mmoja afariki. Huku basi likiteketea kwa moto kwa kugongana uso kwa uso na Toyota Alphard Arusha

    Duhh Ajali zinaondoka na watu wengi sana 🤨🤨
  10. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Mda mrefu tu sema nilikuwa naogopa kukwambia, au unataka nikuazishie thread sasa hivi?? . Udhaufu wangu ni kwako tu ShesRise_1, ni sawa na mtu aliye kwenye kina kirefu cha maji hakika ni wewe wa kuniokoa😍😍
  11. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    ShesRise_1 nakupenda sana, Tafadhali nikubalie uwe mchuma wangu. 😥😥😥
  12. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Fani yenye soko kubwa lakini vijana hawaijui ni ipi?

    Kila fani ipo vizuri, ni uwezo tu wa akili unashindwa kung'amua mambo.
  13. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Yaani ameni block, ame delete my number alafu analalamika kwamba hatuwasiliani

    Kwanza kabisa una haki ya kumuuliza daktari wako kuwa ni kipimo gani hicho kimeonyesha bacteria kwenye damu? Majibu inabidi iwe;- tumefanya kipimo cha CBC/FBP/WBC/TD + Blood culture, tofauti na hapo maana yake daktari wako amepiga ramli chonganishi kupatikana kwa majibu hayo. Kipimo cha...
Back
Top Bottom