Recent content by Nyafwili

  1. Nyafwili

    Usiku kuwa mfupi na masaa kwenda kasi kwa nyakati hizi nini sababu?

    Hakuna kingine zaidi ya : Umri Umesogea + Life Kuwa Ngumu.
  2. Nyafwili

    Bodaboda Tabora tunaishi kwa wasiwasi na hofu ya kuuwawa

    1. Shida ya tabora, bunduki za jadi zipo nyingi sana, na muingiliano wa watu waovu ni mkubwa sana. 2. Vijana hawataki kufanya kazi ngumu, wanapenda mteremko balaa, ukiwa na pesa kuwamiliki wanyamwezi ni simple sana. 3. Vijana wa tabora, nilikuwa nawanunulia bangi ndoo zima kisha nawakabidhi...
  3. Nyafwili

    Mimi ni mgeni Dar, je kukaa baadhi ya sehemu kunaweza kushape maendeleo yako?

    Teseme ukweli, Dar siyo Mji wa kuishi mkuu..
  4. Nyafwili

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Boss Maxence Melo, fungulia hiki kipengele Aise.
  5. Nyafwili

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Ni biashara ipi unaiamini zaidi kwenye kuwekeza mkuu, kwa miaka hii ya sasa???
  6. Nyafwili

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Napingana na wewe mkuu, uwekezaji wa ardhi ndo kila kitu, hizi biashara za kufungua sijui duka, au kununua magari ya usafiri kuna mda unaweza kuwa maskini ndani ya lisaa limoja. Uwekezaji wa kwenye ardhi utakula mda mrefu hata kama huna nguvu za kufanya kazi, upo na ulemavu na mengineyo. kuhusu...
  7. Nyafwili

    Halima Nyakanga afungiwa na BASATA kwa miaka 3 na faini ya Tsh milioni 3

    https://youtu.be/T71wxNxBPj0?si=96aGMS-p5jcaiBma
  8. Nyafwili

    Kwa nini kuna madaraja ya watu katika dini?

    Dini imeletwa na watu , sasa kwa nini isiwe na Madaraja ????
  9. Nyafwili

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Kuna dini mojawapo inatumia nguvu gunia kutangaza dini yao, wengine wanatumia akili gunia kutangaza dini yao
  10. Nyafwili

    KERO Chuo cha City College (Kigamboni) kinatuzungusha tuliosahihisha mitihani yao

    tangu mwezi wa saba 2025 leo Machi 2025 hatujalipwa malipo yetu. 🤔🤔
  11. Nyafwili

    Dkt. Peter Kisenge: Unywaji wa pombe uliokithiri unachangia magonjwa ya moyo

    Pombe zilizo nyingi sasa ni feki, hivyo sumu zinakuwa nyingi sana..
  12. Nyafwili

    Hakuna kitu ngumu kama kuanza mahusiano mapya aisee

    Ni "uhusiano" ✅ siyo "mahusiano" ❌
  13. Nyafwili

    Hivi USA anataka nini hasa kutoka Iran. Kwani akikifanya Iran vita inaisha

    Namba ya Trump hiyo hapo mpigie ili akueleweshe vizuri. 07oo12
  14. Nyafwili

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana kuonesha tupu zao mitandaoni?

    Ili kupata Followers, likes, comments na kuuza mbuye
Back
Top Bottom