Na bahati pia zinachangia mkuu.. Kuna wengine ili afanikiwe lazima a-hustle kwa jasho, ila kuna wengine wakipanda hata mkaa unatoa 😊.
Siku zote huwa nasema: kama kuna kitu huwa unakiamini kwenye maisha yako, jaribu kukishirikisha kila hatua ya mapambano. 🤝
✅
Hiyo typing error tu mkuu 👆, sikuwa na maana hii hata kidogo. 🤝
Mbona ✅
Kumbuka natumia Keyboard yenye auto correct, so ku change sentence ni jambo la kawaida sana.
Okey twende kwenye mada, hakuna mtu asiye jua kuwa hujasoma, ila competition ya watafutaji wa hiyo kazi ndo Husababisha...
Wengi hawalijui hili, huwa wanahisi wote wanatoka utumishi kitu ambacho siyo kweli . So pale wanakupima je akiungana kwenye train letu hili ataweza kumudu ??
Hiyo scenario nimetolea tu mfano, kuwa kuna factor kadhaa zinaweza kukudondosha kwenye usaili.
Mfano unahojiwa wewe mda wote umeiangalia chini ( unawaonea aibu). Hapa zero score 0% inakuhusu.
Kuendesha utaendesha ila alama za barabarani zitakushinda kuzitambua na utasababisha ajira mbaya sana na kuua maelfu ya watu 😢 . ( maana huijui,, ungekua unazijua ungewaeleza ma-officer kwenye mahojiano )
Kuna jamaa alipewa ndizi na msimamizi kwenye ROUNDABOUT huku akiendesha gari. Na...
. Kitu inabidi ujue kuwa Wanaokufanyia usaili wa mahojiano huwa ni mwaajiri/waajiri wako na siyo PSPRS/utumishi. ( mkuu wa idara na watumishi wakonge ndo huwa wanahoji usaili wa mahojiano)
. Ila kwenye written wasimamizi huwa ni PSPRS
Hiyo ni disability ya mtu, huyu ata onekana tu kuwa kujieleza anaweza isipo kuwa uumbaji wa Mwenyezi mungu ndo shida.
huko college mlikuwa munafundishwa kwa kiswahili mkuu? 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.