Usiongelee sana wazee wa Zamani, hao walikula vyakula tofauti na hivi vya "Kisayansi na technologia". Kutokana na sababu za kibiashara na ulafi wa makampuni makubwa, vyakula vimebadilishwa na sio salama tena. Mbolea, Madawa, Mbegu, GMO nk. Vyakula vyote, including mihogo na viazi vitamu, sio...