Recent content by N'yadikwa

  1. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Mambo wabongo tunayoweza kuyajadili kwa nguvu ndio haya!
  2. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Nimerudi: Ban haikuwa haki, mods sikilizeni!

    Kuna mod mmoja ye kazi yake kufuta nyuzi tu mwingine kugonga ban yaani wana mgawanyo wa majukumu .... huyu kaa malaika wa kifo huyu malaika wa hukumu nk
  3. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Nimerudi: Ban haikuwa haki, mods sikilizeni!

    Kwa manufaa ya umma, shukuru umerudi. Adhabu si kitu kibaya; ni sehemu ya miundombinu ya kuwezesha ujifunzaji kama viboko, faini, na hatua nyingine za kinidhamu. Vyote hivyo ni miundombinu tu. 😄 Kwa hiyo, nawapongeza mods pendwa kwa kuweka miundombinu hiyo na muhimu zaidi, kwa kukuwezesha...
  4. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Sema nini tumepitia nyakati za kipekee sana kama Tizedi!

    Ila Mwaisapile?! Yule Mnyakyusa alijua kutunyoosha?! Gen Z watajua ni foleni ya Ubungo!
  5. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili.

    Mlete mama yako geto kwangu
  6. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili.

    Nipe namba ya mama yako nimtumie nipajue na kwenu mwanangu
  7. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili.

    Ana utoto!
  8. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili.

    Toa hela hizo apande bolt mnajua kuwala tu na kuja kulalamika humu kweli wanaume tumebaki wachache sana. Weka namba yake hapa nimtumie laki 2
  9. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania NDEGE KAMA HIZI BOEING HURUKA FUTI 34,000 JUU YA USAWA WA BAHARI,b NI SAWA NA VIWANJAVYA SOKA KARIBU 100!

    Ziko effective enough, tatizo ni kwamba tunaweza kuthibitisha?! Kama tunavothibitisha ndege unapanda unafika watu wanakuona! Sasa ungo ni hadithi za kusadikika
  10. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania NDEGE KAMA HIZI BOEING HURUKA FUTI 34,000 JUU YA USAWA WA BAHARI,b NI SAWA NA VIWANJAVYA SOKA KARIBU 100!

    Kuna kitu cha kushangaza sana kuhusu safari za ndege ambacho wengi wetu hatukifikirii. Ndege kubwa za abiria kama Boeing 737 zinaweza kusafiri katika mwinuko wa karibu futi 34,000 (34,000 ft) kutoka usawa wa bahari. Lakini futi 34,000 ni kiasi gani kwa lugha tunayoielewa vizuri? 34,000 ft =...
  11. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Stupid thread. Kwa hiyo, watu wabaki kwenye toxic marriages hadi wafe, eti kisa wana 40 years?! Maisha yanapaswa pia kuongozwa na natural, inborn instincts lakini cha kushangaza instincts hizo hizo ambazo zinamsukuma mtu kujilinda na kutafuta amani, nyie mnaziita “mental illness. Kama unataka...
  12. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Nilimissquote the Gunner acha ashughulikiwe nami nasema apigwe tu maana hakuna namna
  13. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Kwa huu ubishi acha aendelee kunyooshwa 😃
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Huko nilishatoka mi natoa mpunga mrefu napata mali safi...sili chipsi vumbi nakula za KFC yummy & juicy
Back
Top Bottom