Kuna mod mmoja ye kazi yake kufuta nyuzi tu mwingine kugonga ban yaani wana mgawanyo wa majukumu .... huyu kaa malaika wa kifo huyu malaika wa hukumu nk
Kwa manufaa ya umma, shukuru umerudi. Adhabu si kitu kibaya; ni sehemu ya miundombinu ya kuwezesha ujifunzaji kama viboko, faini, na hatua nyingine za kinidhamu. Vyote hivyo ni miundombinu tu. 😄
Kwa hiyo, nawapongeza mods pendwa kwa kuweka miundombinu hiyo na muhimu zaidi, kwa kukuwezesha...
Ziko effective enough, tatizo ni kwamba tunaweza kuthibitisha?! Kama tunavothibitisha ndege unapanda unafika watu wanakuona! Sasa ungo ni hadithi za kusadikika
Kuna kitu cha kushangaza sana kuhusu safari za ndege ambacho wengi wetu hatukifikirii.
Ndege kubwa za abiria kama Boeing 737 zinaweza kusafiri katika mwinuko wa karibu futi 34,000 (34,000 ft) kutoka usawa wa bahari.
Lakini futi 34,000 ni kiasi gani kwa lugha tunayoielewa vizuri?
34,000 ft =...
Stupid thread. Kwa hiyo, watu wabaki kwenye toxic marriages hadi wafe, eti kisa wana 40 years?!
Maisha yanapaswa pia kuongozwa na natural, inborn instincts lakini cha kushangaza instincts hizo hizo ambazo zinamsukuma mtu kujilinda na kutafuta amani, nyie mnaziita “mental illness.
Kama unataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.