Waswahili janjajanja nyingi sana sie nadhani baada ya wanaija kwenye hili bara waswahili wa bongo tunafuatia kwa ujanjajanja
Wapoolee wenyewe ukituangalia ila sasa!!! Ni hatari sie nje kama kondoo ndani mbwa mwitu...hafu tunajifanya watu wa ibada sana
Wanafq wakubwa sie!!!
STUKA! Maneno haya yanaweza kukuelekeza kwenye biashara ya bidhaa feki
Ukisikia muuzaji akitumia maneno kama:
“Makwaliti”
“Matelephone”
“Original kabisa”
“Dubai”
“Grade A”
“Masaiti”
“Boss Kweza”
“Kama Kariakoo”
…au anazungusha maneno mengi sana huku akiweka vispika vile vya kurekodi na...
There’s this Pearl bottled cocktail thing, and also Uganda Waragi. If you drink too much of either, you can get completely drunk, lose your sense of direction, and even fail to recognise your own home or find your way to the door.
Wakati mwingine hata mabarabara yanakuwa finyu sababu ya uholela wa biashara...bajaji anasimama barabarani, Mwakibinga nae anasimama kununua biskuti za mtoto kwenye barabara na kuleteleza foleni...yaani sisi bwana!
Hii sina shida nayo muhimu udhibiti sio kila mahala mtu anaweka genge lake au kibanda cha hizo mobile money...yaani ukitembea nchi za wenzetu ndio unaona uholela tulio nao...hapo hujazungumzia bajaj kwenye miji kama tunduma mbeya mjini na sasa imeanza Dar yaani zimekuwa hazina utaratibu wakati...
Unafika Kariakoo jioni au usiku au Soko Mjinga pale Mbeya Uyole na Soweto au Kabwe unakutana na watu wanakaanga vitumbua kwenye vumbi au wametandika Pilipili hoho chini na pembeni kuna mtaro wa maji taka yanavuja, unajiuliza halmashauri/Manispaa wako wapi wanafanya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.