Recent content by N'yadikwa

  1. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

    Mti ulidumaa ukafa, nadhani udongo wa kichanga majanga japo uli survive kwa miaka mitatu baadae ukafa na haukukua
  2. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Laana ni scam...niseme nini zaidi ya hapo mwanabodi
  3. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Hakuna kitu kama laana...laana ni scam!... zembea hapa duniani ukata ufuta ukung'ang'anie hiyo inakuwa ndo 'laana' eti laana hakuna hicho kitu
  4. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    Jamaa angu kauziwa sijui ni oppo ile sijui brand gani ya mwaka wa nyuma wakamwambia ya 2025 kalipa malaki ya kutosha
  5. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    Mawinga matapeli sana hawa watoto genZ
  6. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    Waswahili janjajanja nyingi sana sie nadhani baada ya wanaija kwenye hili bara waswahili wa bongo tunafuatia kwa ujanjajanja Wapoolee wenyewe ukituangalia ila sasa!!! Ni hatari sie nje kama kondoo ndani mbwa mwitu...hafu tunajifanya watu wa ibada sana Wanafq wakubwa sie!!!
  7. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    STUKA! Maneno haya yanaweza kukuelekeza kwenye biashara ya bidhaa feki Ukisikia muuzaji akitumia maneno kama: “Makwaliti” “Matelephone” “Original kabisa” “Dubai” “Grade A” “Masaiti” “Boss Kweza” “Kama Kariakoo” …au anazungusha maneno mengi sana huku akiweka vispika vile vya kurekodi na...
  8. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda BARS TO OPEN AT 3PM ON WORKING DAYS

    There’s this Pearl bottled cocktail thing, and also Uganda Waragi. If you drink too much of either, you can get completely drunk, lose your sense of direction, and even fail to recognise your own home or find your way to the door.
  9. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Kumbe wasichana wa 2005 waongo e
  10. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi BOT Mnasubiri Nini Kuweka Picha Ya Rais Samia katika Noti Zetu? Mnataka Taifa lifanye Maandamano yasiyo na kikomo?

    Sema we jamaa nahisi utakuwa mgonjwa wa akili, inabidi umuone daktari
  11. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari sana kuhusu hiki anachokifikiria Masoud Kipanya

    Wakati mwingine hata mabarabara yanakuwa finyu sababu ya uholela wa biashara...bajaji anasimama barabarani, Mwakibinga nae anasimama kununua biskuti za mtoto kwenye barabara na kuleteleza foleni...yaani sisi bwana!
  12. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari sana kuhusu hiki anachokifikiria Masoud Kipanya

    Imekuwa ni uchafuzi wa mazingira huelewi usikilize kipi
  13. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari sana kuhusu hiki anachokifikiria Masoud Kipanya

    Hii sina shida nayo muhimu udhibiti sio kila mahala mtu anaweka genge lake au kibanda cha hizo mobile money...yaani ukitembea nchi za wenzetu ndio unaona uholela tulio nao...hapo hujazungumzia bajaj kwenye miji kama tunduma mbeya mjini na sasa imeanza Dar yaani zimekuwa hazina utaratibu wakati...
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari sana kuhusu hiki anachokifikiria Masoud Kipanya

    Unafika Kariakoo jioni au usiku au Soko Mjinga pale Mbeya Uyole na Soweto au Kabwe unakutana na watu wanakaanga vitumbua kwenye vumbi au wametandika Pilipili hoho chini na pembeni kuna mtaro wa maji taka yanavuja, unajiuliza halmashauri/Manispaa wako wapi wanafanya nini?
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tutafakari sana kuhusu hiki anachokifikiria Masoud Kipanya

    acha kabisa jombaa
Back
Top Bottom