Recent content by N'yadikwa

  1. N'yadikwa

    UONGO WA KARNE: "Pesa Haiwezi Kununua Furaha" Neno la Kujifariji La Masikini na Kukaririwa na Wasomi

    Hii mindset ya mleta sledi ndiyo imesababisha watu wameendekeza ukata ufuta na kuishia kuwalaumu wasiohusika sababu ya kujazana sumu za kipumbafu kama hii. Another rubbish advise. VIJANA TAFUTENI HELA TENA KWA BIDII KUBWA. PESA NDIYO FURAHA KWENYE DUNIA HII, USIINGIE HUO MTEGO
  2. N'yadikwa

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Changamoto za Ndoa kwa sasa ni sababu ya nyeto wanaume hawawafanyi ipasavyo wake zao matokeo yake ndoa zimekuwa zikisumbua kwa sababu bila mjegeje kutembezwa vizuri hakieleweki, na sababu ya men ku underperform ni kuendekeza nyeto
  3. N'yadikwa

    Maporomoko ya udongo – tujifunze kutoka Manyara, Same (mlima Kawetere) na sasa Rungwe

    Kabisa mkuu maamuzi definite ya kujenga Tanzania nzuri huanzia kwenye maoni kama hivi
  4. N'yadikwa

    Maporomoko ya udongo – tujifunze kutoka Manyara, Same (mlima Kawetere) na sasa Rungwe

    Mkuu hayo ni maoni tu nadhani picha ingefaa kama ingekuwa ni news piece, hiyo ni opinion ya kidume n'yadikwa, wasalaam.
  5. N'yadikwa

    Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Hii ndio dawa yenu vitombi. Dada zangu shikilieni hapohapo ndoa zitarudi, hawa wapuuzi hawaoi siku hizi sababu 'mnawapamo' sana.
  6. N'yadikwa

    Maporomoko ya udongo – tujifunze kutoka Manyara, Same (mlima Kawetere) na sasa Rungwe

    Wanabodi, Kumekuwa na matukio ya kusikitisha ya maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu hasa kipindi cha mvua nyingi ikiwemo Manyara, Same (Mlima Kawetere) na sasa Rungwe (Mbeya). Matukio haya yameleta madhara makubwa: vifo, uharibifu wa makazi, na kupotea kwa mali za...
  7. N'yadikwa

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Soma vizuri na uelewe hiyo 'vuta' nimemaanisha nini; usipoelewa tena rudi nikufafanulie vizuri,sawa?
  8. N'yadikwa

    Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Kuna jiji chafu na lenye mpangilio wa hovyo kulizidi Mbeya. Hivyo vibajaji tu pale katikati ya mji ukianzia njiapanda ya Isyesye hadi Mafiati ni uchafu tosha. Jiji gani mmeshindwa kudhibiti vibajaji tu vimekuwa utitiri, havina mpangilio, vinasababisha foleni ni takataka hata New Delhi ikasome...
  9. N'yadikwa

    Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Moja ya changamoto za Mbeya huwa ni hii ya nyi jamaa kupenda kujisifia na kugoma kukosolewa, nadhani so far Mbeya ndilo jiji chafu zaidi hapa Tz na hizo rasilimali ni kama haziwasaidii natokea juu kusini pia ila kama huu uzi wako angeuandika mtu wa Kilimanjaro,Arusha, Mara au Mwanza ningemsapoti...
  10. N'yadikwa

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Kule Papua New Guinea gwiji la makala za mazingira wa BBC David Attenborough aliwahi kuonesha aina fulani ya ndege aitwae Bird of Paradise huyo bwana ye anapomtaka ndege jike lazima amhonge kwa kupiga densi moja matata. Ila sasa wewe Mwatunumbi wa Bujela unataka uipige bure,utatusi sana. No free...
  11. N'yadikwa

    Azam TV kwenye application sio poa

    Mafundi wenu sijui ndio wanafanyia majaribio ya kurekebisha sauti huku. Application mara nyingi imekuwa kama second option kwenu ingali watu tunalipia!?, kwa kuwa customer desk lenu halifikiki kirahisi chukueni ujumbe wenu hapa, tunao subscribe kwenye Application yenu tutendeeni haki the...
  12. N'yadikwa

    Hizi ni dalili au ishara ya kuwa na kibali kikubwa katika jamii na maisha yako

    Life is for living, not just dreaming. Stop feeding yourself and others with dream filled lies start doing.
  13. N'yadikwa

    Daah! Bora ningesoma

    Bila elimu bora hakuna mafanikio halisi. Planet earth inaongozwa na elimu, hapa Tanzania naona watu wazima tumeanzisha kampeni ya kipumbafu ya kubagaza elimu ionekane sio kitu si lolote matokeo yake tunalipoteza hili taifa kwa hii misimamo ya kipumbafu ya akinadotomagali
  14. N'yadikwa

    Daah! Bora ningesoma

    Mtu anasoma ili aajiriwe au afute ujinga
  15. N'yadikwa

    Watu wengi wameoa/kuolewa kwa kufata mkumbo na imewagharimu sana

    Oeni mzae. Mtaitwa babu na watoto wenu wakati huo wanawatukana tu maana nguvu za kuwahudumia hakuna tena...iganeni na ujinga wa kataa ndoa ulizaliwa peke yako unajuta peke yako
Back
Top Bottom