Recent content by N'yadikwa

  1. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya 2030–2035: Baada ya SGR, tuingie awamu ya barabara kuu za njia nne

    Ukiwekwa kama mkakati wa kitaifa unaohusisha utafutaji rasilimali kama vile mkopo inawezekana. Wakati wa JK uliwekwa mkakati wa kuunganisha mikoa yote kwa lami na ilifanikiwa. Tunaweza kufanya kama wakati wa JK ikawa ni project ya ku upgrade 2 carriage ways ziwe 4 carriage ways hatuna sababu ya...
  2. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya 2030–2035: Baada ya SGR, tuingie awamu ya barabara kuu za njia nne

    Tanzania tunaelekea kufanya jambo kubwa kupitia mradi wa reli ya kisasa ya SGR. Lakini baada ya kukamilisha SGR, nina pendekezo Serikali iandae project nyingine kubwa ya kimkakati ya kujenga barabara kuu za njia nne (dual carriageways) kwenye route muhimu zote za nchi yetu zinazobeba uchumi wa...
  3. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Afya & TANROADS, ingilieni kati hali ya vumbi jiji la Mbeya kabla haijageuka janga la afya ya umma

    1/ Kutoka Uyole hadi Mbalizi, wananchi wanakumbana na vumbi lisilomithirika kila siku. Hali hii si tu kero, bali ni tishio kubwa kwa afya za wakazi wa jiji la Mbeya hasa wafanyabiashara. Magari yanatimua vumbi zito sana pale katikakati ya jiji kwa sasa. 2/ Vumbi hili linaongeza hatari ya...
  4. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa

    Naona kaka Mayalla umeandika sledi ndeefuu kama kawaida yako kutetea "yellow envelope". Ukweli unaujua hakuna sababu yoyote inayo justify yellow envelope kwa "professional journalist". The moment umeruhusu your source akulipe tayari umesha- trade your journalistic freedom. Unless unafanya PR...
  5. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Mkuu hili povu ni kali sana linafaa kufulia mablanketi!😃
  6. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Kabisa! Utaratibu wa sasa unashusha thamani ya ndinga
  7. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Aje ajibu kikao!😄
  8. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Nitoe summary ya mapovu au 🤪 au niache eti timu namba 'E' au tuwaache namba A waendelee kupovuka
  9. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    We ndie Isanga?! Au we ni Tahira
  10. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Ndio nimekupa jina hapo inamilikiwa na Vodacom Group kumbe hujaelewa na hisa nyingine zipo kwa taasisi zisizohusiana na politicians sasa wewe hao politicians unaosema wanamiliki ni akina nani?! Wataje tujue boss
  11. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Vodacom Tanzania zaidi ya 75 ya share ni Vodacom group nani pale ni mwanasiasa na ana hisa?! Nijibu hilo tu mkuu ili tu validate fact yako
  12. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Hii ina facts mkuu au hisia tu, mfano voda politician yupi ana hisa kule!
  13. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Halijatatuliwa ndio; na hiyo ndio sababu huyu bwana akatoa mchango hapo bungeni akichangia hoja ya hutba ya waziri wa mawasiliano
  14. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Jamaa usomi unamsaidia sana kafanya research akatoa mfano wa Afrika Kusini akiitaja makala hii: Icasa moves to allow rollover of unused mobile data bundles
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Shigongo apendekeza roll over ya bundle za intaneti. Je, ni suluhisho la malalamiko?

    Wadau, Mbunge wa Buchosa Bw. Erick Shigongo ameibua hoja bungeni kwa kupendekeza kuanzishwa kwa mfumo wa “roll over” wa vifurushi vya intaneti, ambapo data isiyotumika ndani ya muda wa kifurushi inaweza kuhamishwa kwenda mwezi unaofuata badala ya kupotea. Hoja yake: Wananchi wengi wamekuwa...
Back
Top Bottom