Hii mindset ya mleta sledi ndiyo imesababisha watu wameendekeza ukata ufuta na kuishia kuwalaumu wasiohusika sababu ya kujazana sumu za kipumbafu kama hii. Another rubbish advise.
VIJANA TAFUTENI HELA TENA KWA BIDII KUBWA. PESA NDIYO FURAHA KWENYE DUNIA HII, USIINGIE HUO MTEGO
Changamoto za Ndoa kwa sasa ni sababu ya nyeto wanaume hawawafanyi ipasavyo wake zao matokeo yake ndoa zimekuwa zikisumbua kwa sababu bila mjegeje kutembezwa vizuri hakieleweki, na sababu ya men ku underperform ni kuendekeza nyeto
Wanabodi,
Kumekuwa na matukio ya kusikitisha ya maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu hasa kipindi cha mvua nyingi ikiwemo Manyara, Same (Mlima Kawetere) na sasa Rungwe (Mbeya).
Matukio haya yameleta madhara makubwa: vifo, uharibifu wa makazi, na kupotea kwa mali za...
Kuna jiji chafu na lenye mpangilio wa hovyo kulizidi Mbeya. Hivyo vibajaji tu pale katikati ya mji ukianzia njiapanda ya Isyesye hadi Mafiati ni uchafu tosha. Jiji gani mmeshindwa kudhibiti vibajaji tu vimekuwa utitiri, havina mpangilio, vinasababisha foleni ni takataka hata New Delhi ikasome...
Moja ya changamoto za Mbeya huwa ni hii ya nyi jamaa kupenda kujisifia na kugoma kukosolewa, nadhani so far Mbeya ndilo jiji chafu zaidi hapa Tz na hizo rasilimali ni kama haziwasaidii natokea juu kusini pia ila kama huu uzi wako angeuandika mtu wa Kilimanjaro,Arusha, Mara au Mwanza ningemsapoti...
Kule Papua New Guinea gwiji la makala za mazingira wa BBC David Attenborough aliwahi kuonesha aina fulani ya ndege aitwae Bird of Paradise huyo bwana ye anapomtaka ndege jike lazima amhonge kwa kupiga densi moja matata. Ila sasa wewe Mwatunumbi wa Bujela unataka uipige bure,utatusi sana. No free...
Mafundi wenu sijui ndio wanafanyia majaribio ya kurekebisha sauti huku. Application mara nyingi imekuwa kama second option kwenu ingali watu tunalipia!?, kwa kuwa customer desk lenu halifikiki kirahisi chukueni ujumbe wenu hapa, tunao subscribe kwenye Application yenu tutendeeni haki the...
Bila elimu bora hakuna mafanikio halisi. Planet earth inaongozwa na elimu, hapa Tanzania naona watu wazima tumeanzisha kampeni ya kipumbafu ya kubagaza elimu ionekane sio kitu si lolote matokeo yake tunalipoteza hili taifa kwa hii misimamo ya kipumbafu ya akinadotomagali
Oeni mzae. Mtaitwa babu na watoto wenu wakati huo wanawatukana tu maana nguvu za kuwahudumia hakuna tena...iganeni na ujinga wa kataa ndoa ulizaliwa peke yako unajuta peke yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.