Ukiwekwa kama mkakati wa kitaifa unaohusisha utafutaji rasilimali kama vile mkopo inawezekana. Wakati wa JK uliwekwa mkakati wa kuunganisha mikoa yote kwa lami na ilifanikiwa. Tunaweza kufanya kama wakati wa JK ikawa ni project ya ku upgrade 2 carriage ways ziwe 4 carriage ways hatuna sababu ya...
Tanzania tunaelekea kufanya jambo kubwa kupitia mradi wa reli ya kisasa ya SGR. Lakini baada ya kukamilisha SGR, nina pendekezo Serikali iandae project nyingine kubwa ya kimkakati ya kujenga barabara kuu za njia nne (dual carriageways) kwenye route muhimu zote za nchi yetu zinazobeba uchumi wa...
1/ Kutoka Uyole hadi Mbalizi, wananchi wanakumbana na vumbi lisilomithirika kila siku. Hali hii si tu kero, bali ni tishio kubwa kwa afya za wakazi wa jiji la Mbeya hasa wafanyabiashara. Magari yanatimua vumbi zito sana pale katikakati ya jiji kwa sasa.
2/ Vumbi hili linaongeza hatari ya...
Naona kaka Mayalla umeandika sledi ndeefuu kama kawaida yako kutetea "yellow envelope". Ukweli unaujua hakuna sababu yoyote inayo justify yellow envelope kwa "professional journalist". The moment umeruhusu your source akulipe tayari umesha- trade your journalistic freedom. Unless unafanya PR...
Ndio nimekupa jina hapo inamilikiwa na Vodacom Group kumbe hujaelewa na hisa nyingine zipo kwa taasisi zisizohusiana na politicians sasa wewe hao politicians unaosema wanamiliki ni akina nani?! Wataje tujue boss
Jamaa usomi unamsaidia sana kafanya research akatoa mfano wa Afrika Kusini akiitaja makala hii: Icasa moves to allow rollover of unused mobile data bundles
Wadau,
Mbunge wa Buchosa Bw. Erick Shigongo ameibua hoja bungeni kwa kupendekeza kuanzishwa kwa mfumo wa “roll over” wa vifurushi vya intaneti, ambapo data isiyotumika ndani ya muda wa kifurushi inaweza kuhamishwa kwenda mwezi unaofuata badala ya kupotea.
Hoja yake:
Wananchi wengi wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.