Wakuu saalam nyingi kwenu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu.
Kijana mwenzenu nimekata shauri ya kuwa na mke hivo nimeanza mchakato wa kufunga ndoa. Ninaomba ushauri wa rangi nzuri ya suti na viatu. Pia na maeneo ya kupata pete kwa bei ambayo ni affordable.
NB. Mimi kwa...
Tunaambiwaga sisi tuliopo chaka muvi zinabeba uhalisia wa maisha ya jamii husika, kwa mantiki hiyo naona wahindi wanaweza mapenzi tu lakini sio combat.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.