Msaada tatizo la kompyuta

Nyachumwi

Member
Oct 2, 2019
36
35
Wakuu nawasalimu,

Nina kithinkipad changu hapa nilijaribu kinatumia SSD nikajaribu kugawa partition cha kushangaza kimecollapse. Nimejaribu kurest kinagoma pia. Naombeni msaada hela ya kumpa fundi sina alafu sio mtaalamu sana.

1591669080018.jpeg
 
Kufanya partition kwenye Local Drive , hasa system drive yenye OS kwa kutumia third-party software ni kitendo cha hatari na unatakiwa uwe unakifanya kwa tahadhari kwa kufanya Backup kwanza.

Ulitumia software gani kufanya partition? Na je una data za muhimu sana ambazo zipo kwenye hiyo drive?

From JF App
 
Kufanya partition kwenye Local Drive , hasa system drive yenye OS kwa kutumia third-party software ni kitendo cha hatari na unatakiwa uwe unakifanya kwa tahadhari kwa kufanya Backup kwanza.

Ulitumia software gani kufanya partition? Na je una data za muhimu sana ambazo zipo kwenye hiyo drive?

From JF App
Nimetumia Partition Master Free mkuu.
Mkuu umenitisha ina maana haka kathinkpad ndo kamekufa?
 
kifactory reset mkuu kikigoma kifactory reset na ufute kabisa kila kitu
 
Nimetumia Partition Master Free mkuu.
Mkuu umenitisha ina maana haka kathinkpad ndo kamekufa?
Kufa haitakufa. Ila unaweza kupoteza Data maana kama itakataa kufanya recovery itabidi upige windows na kupartition upya wakati unapiga windows.

From JF App
 
tafuta version ya linux yoyote kisha boot nayo au kama ni image tengeneza bootable kwa flash drive then boot kupitia hiyo image (live) backup data zako ndipo uweke windows upya, kwenye installation wizard ya windows utaweza fanya partition pia kama unahitaji.
 
Back
Top Bottom