Recent content by Nyabiri

  1. Nyabiri

    Msaada wa dawa ya kuua mzige wanaokula mazao

    Wadudu hawa wameniharibia ekari mbili za zao la mbazi tafadhali anaejua sumu ya wadudu hao anisaidie
  2. Nyabiri

    NAUZA KAMPUNI YA ULINZI

    Tuwasiliane mkuu
  3. Nyabiri

    NAUZA KAMPUNI YA ULINZI

    Wakuu habari za majukumu, Naandika kwenye jukwaa hili kujulisha lengo langu la kutaka kuuza kampuni yangu ya ulinzi ambayo tayari imekamikika usajili. Kampuni ilisajiliwa mwaka 2022 na kuanza kufanya kazi,lakini kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu nimetangaza kuiuza, Hivyo kama kuna...
  4. Nyabiri

    Naomba wa ushauri njia bora ya kuendesha kampuni

    Asante saana kiukweli kwa maswali haya kuna kitu nimejifunza.
  5. Nyabiri

    Naomba wa ushauri njia bora ya kuendesha kampuni

    Mkuu nilishawahi kuwa mlinzi kwa muda mrefu nikapata experience ya mambo ya ulinzi. Na pia kuwa kiongozi mkubwa kwenye kampuni ya ulinzi.
  6. Nyabiri

    Naomba wa ushauri njia bora ya kuendesha kampuni

    Wakuu ni matumaini yangu kuwa hamjambo, nimeamua kuingia kwenye jukwaa hili nikiamini ya kwamba nitasaidia kimawazo. Katika harakati za kutafuta maisha nilifanikiwa kusajili na kufungua kampuni ya ulinzi na kuanza kuiendesha kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 mwishoni,nilikuwa na wateja wa kawaida...
  7. Nyabiri

    Tunatoa huduma ya Ulinzi

    Kwa sasa inakadiriwa kuwa na idadi kubwa saana ya makampini ya ulinzi tanzania, imezoeleka kuona makampuni mengi hapa nchini yakifanya biashara hali ya kuwa yalitakiwa kutoa huduma kwa wanachi. Swala la ulknzi na usalama ni swala mtambuka na kimsingi kabla hujaamua kulifanya unatakiwa kujiandaa...
  8. Nyabiri

    Msaada namna ya makadirio ya TRA

    Habari wanajukwaa, nimesajili kampuni naomba mwenye uelewa namna ya kufanya provission na makadirio ya kodi ya TRA anisaidie.
  9. Nyabiri

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hospital ya wilaya ya bagamoyo hakuna huduma za kiserikali Bali ni biashara ya watu binafsi,haiwezekani mgonjwa alipie kiingilio, anunue madawa, alipie vipimo,anunua kila kifaa tiba kitakacho hitajika.naomba kujua kama ndio utaratibu wa serikali Kwa Sasa Asante.
  10. Nyabiri

    Andika sentensi hii kwa kiingereza

    Keel three zukas
  11. Nyabiri

    Acha kuteseka na Amoeba, njoo nikupe dawa

    Napenda niwasalimie wana jamii forums,natumai hamjambo,kama unajihisi hauko sawa kiafya basi nikupe pole. Wapendwa,naomba niwasaidie watu wenye shida ya amoeba,kiukweli ni ugonjwa ambao unakosesha aman, Nyabiri tiba asilia ni kituo cha tiba kwa kutumia dawa za asili,karibu nikusaiadie. Naomba...
  12. Nyabiri

    Kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu mwanamke, ushauri wenu ni muhimu

    Ishu ni moja kama unampenda na huhitaji kumkosa basi kaa nae umwambie makosa anayokukosea then yataisha but kama ukiongea nae na asielewe unaweza tafuta chanzo ninini,me naona bado hana kosa la kukufanya kumuacha
  13. Nyabiri

    Nauza kiwanja morogoro

    Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo; urefu hatua 30 * upana hatua 20. Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu. Kiwanja kipo kata ya dumira wilaya ya kilosa mkoa wa morogoro. ukiwa unatokea...
  14. Nyabiri

    Nauza kiwanja kipo kata ya Dumila mkoa wa morogoro

    Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo; urefu hatua 30 * upana hatua 20. Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu. Kiwanja kipo kata ya dumira wilaya ya kilosa mkoa wa morogoro. ukiwa unatokea...
Back
Top Bottom