Omdoeni mambo yenu ya hovyo mtaongea Mengi kuhusu Mbowe hamtafanikiwa.
Tengenezeni kashfa mwisho mtaacha hatukatishwi tamaa wala hatutatoka kwenye mstari, CHADEMA mpango mzima
Swala la odinga hapa haliwezi kulinganishwa na yanayoendelea ACT na CCM pitia katiba ya Kenya na Tanzania kisha toa maoni, hapa hatetewi mtu au chama swala ni uhalisia, Kutekeleza ilani ya chama chochote eti kwa sababu zote ni kwa ajili ya wananchi.
Tanzania uchaguzi wetu hubebwa na ilani za...
Chadema afuate nn ? Niwakati wa yeye kurudi CCM rasmi aungane na wenzake, chadema atasugua bench sana maana haaminiki na walio wengi ndani ya Chadema na hii hamahama ya waliohama nae Chadema na kurudi CCM inadhihirisha kuwa mpango wa kuibomoa Chadema ulikuwa wa kweli na hakuonewa/hawakuonewa...
Uteuzi wa Mbunge na hizo post za Mrema, Kitila Mkumbo na Anna Mgwira ni tofauti. Unapoenda bungeni hupangiwi cha kutekeleza/kutenda lakini nafasi za hao wengine ni zakiitikadi na lazima ufuate ilani ya chama kilichopo madarakani ambacho ndicho kimekupa madaraka/uongozi.
Vinginevyo kama James...
Kama Hawa walimu hajapandishwa madaraja tangu rais aingie madarakani na hawajalipwa malimbikizo atatoa laptop au milioni 50 ili serikali imetumia hela za Kagera ambazo zilikuwa maalumu kwa maafa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.