Magufuli atasimama kuwa alama njema ya taifa hili na Africa kwa jumla. Ataendelea kuwa jembe, chuma na mwana mwema wa Africa. Aliwanyoosha mafisadi, wezi,wazembe na wala rushwa mpaka maji wakaita mma'Asante Magufuli. Wanaokutukana tunajua yaliyowasibu walahawatutishi
Mungu atusaidie tumpate mpenda wanyonge, mtetezi wa masikini na haki kama alivyokuwa Magufuli na kuzidi.
Mleta mada utatukanwa humu na wale wezi, wala rushwa, mafisadi na waliotumbuliwa ila usijali shetani yupo kazini na kweli itasimama siku zote
Magufuli alikuwa Mcha Mungu. Aliyetuambia tumtangulizeMungu. Kwenye corona alitaka misikiti na makanisa women, hakuifunga nchi. Akatutaka na akaongoza maombi ya siku tatu kuomba na kushukuru. Mpaka leo Mungu katuweka hai. MAGUFULI, jembe, chuma, mwanamwema wa Afrika
Ni kweli watanzania wanyonge walio wengi hawako mitandaoni. Ila wanajua huyo mama kawatupa hana mpango nao. Kakumbatia wenye pesa masikini anawatoza matozo, hafuatilii matumizi wala makusanyo ya pesa zetu. Akipita kwenye viziara vyake vichache hasikilizi kero za watu. Yaani yeye hachangamani...
Utakuwa ulitumbuliwa au ni fisadi mwizi mlarushwa ukakomeshwa. Magufuli ni kipenzi cha wanyonge majority na si ww. Historia itamkumbuka mwana mwema wa afrika. Watoto wako watamsoma hatua kwa hatua. Kipi alichofanya na si propaganda. Mwisho umati uliomzika na ideology iliyokaa ndani ya mioyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.