Recent content by Nuzulati

  1. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Huu unaitwa utajiri wa kuwanufaisha wenzio mi siutaki
  2. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Mkuu kuna utajiri wa Amani na wamateso wote kwa pamoja tunaomba tupate utajiri wa Amani ambao tutaufurahia sio ambao utatutoa machozi na majuto mengi.
  3. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Nakwambia unaweza ukawa na pesa ila wewe ukawa kama ngazi ili wenzio wanufaike unakuta mke,ndugu na marafiki ndio wanafanyia anasa pesa zako wewe sasa mwili kama mbu.
  4. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Tajiri wa Dunia mwenzio kaandika alidhani pesa itampa furaha na kamuunga mkono mtu aliyesema pesa haiwezi kukupa furaha,Mkuu kwa vile huna ukiwa nayo utatamani upewe furaha na Amani ya moyo.
  5. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Yaani una pesa ila huwezi kuwa na usingizi wa amani 🤣
  6. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Yaani ni Sawa mtu ana pesa ila ana magonjwa makubwa mwilini yaani hutakiwi kula chumvi wala sukari,mpaka mda wa kulala unapangiwa na kuamka huna furaha na pesa.Amani ya moyo ni Sawa mtu fukara ila ana utajiri wa Afya tele mwilini.Bi mkubwa ni Raisi (japo mimi simtambui)ila sura yake inaonesha...
  7. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Mi nauliza huyu Mama why hakuishia awamu yake iliyopita ili ale Mema ya Nchi vizuri bila stress kama kikwete.
  8. Nuzulati

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Nikiwekewa pesa,utajiri na Amani ya moyo nichague kati ya hivyo kwa kweli nitachagua Amani ya moyo bila kuangalia nyuma wala kuwaza mara mbili mbili.
  9. Nuzulati

    Mshawahi kuisikia stori ya nyumba nyeupe iliyopo njia ya Chamazi?

    Picha una piga japo mimi binafsi sijawahi
  10. Nuzulati

    Mshawahi kuisikia stori ya nyumba nyeupe iliyopo njia ya Chamazi?

    Mkuu hiyo ni kweli nyumba ipo kwa mbiku
  11. Nuzulati

    Mshawahi kuisikia stori ya nyumba nyeupe iliyopo njia ya Chamazi?

    Watu wanakaa ila wavutaji watupu sura za kazi humo watu wanajenga kupitia hiyo nyumba ukiweza kuvumilia tu🤣🤣🤣
  12. Nuzulati

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Kwani wewe ulikuwa na malengo nae si umeandika ulikuwa unataka uipige usepe sasa yeye kwa nini akuonee huruma,Tulieni na ndoa zenu jamanii Mwanamke akishajua umemfanya mchepuko nae anakufanya kitega uchumi.
  13. Nuzulati

    Mshawahi kuisikia stori ya nyumba nyeupe iliyopo njia ya Chamazi?

    Humo nasikia Wanakaa masela watupu ni mwendo wa bangi tu ndio unapata usingizi.
  14. Nuzulati

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Pale mchepukaji anapomuona mchepukaji mwenzie malaya.
Back
Top Bottom