Nakwambia unaweza ukawa na pesa ila wewe ukawa kama ngazi ili wenzio wanufaike unakuta mke,ndugu na marafiki ndio wanafanyia anasa pesa zako wewe sasa mwili kama mbu.
Tajiri wa Dunia mwenzio kaandika alidhani pesa itampa furaha na kamuunga mkono mtu aliyesema pesa haiwezi kukupa furaha,Mkuu kwa vile huna ukiwa nayo utatamani upewe furaha na Amani ya moyo.
Yaani ni Sawa mtu ana pesa ila ana magonjwa makubwa mwilini yaani hutakiwi kula chumvi wala sukari,mpaka mda wa kulala unapangiwa na kuamka huna furaha na pesa.Amani ya moyo ni Sawa mtu fukara ila ana utajiri wa Afya tele mwilini.Bi mkubwa ni Raisi (japo mimi simtambui)ila sura yake inaonesha...
Kwani wewe ulikuwa na malengo nae si umeandika ulikuwa unataka uipige usepe sasa yeye kwa nini akuonee huruma,Tulieni na ndoa zenu jamanii Mwanamke akishajua umemfanya mchepuko nae anakufanya kitega uchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.