Kizazi cha sasa hivi ni mtihani kwanza hakiogopi kusemwa yaani umwambie jambo hili si sawa akuelewe tena hakiogopi fimbo ni kuomba toka yuko tumboni Mungu akuwekee mtoto ambaye utamwambia hiki akifai akakusikia.
Ombea kizazi chako mkuu usifikili kulea kuna ujunzi,kuna watoto toka wako tumboni wana ushetani ndani yake wanakuja Duniani kukamilisha kazi yao.Mtoto wa aina hii hata umlee vipi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.