Recent content by Nuzulati

  1. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Kwa nini uwe mkorofi je Wazazi hawa kukupa upendo au malezi mazuri?
  2. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Hakuna mtoto mkorofi kati ya nyie watano?
  3. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Ok naomba twende Sawa mimi na wewe kwenu mpo wangapi?
  4. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Kizazi cha sasa hivi ni mtihani kwanza hakiogopi kusemwa yaani umwambie jambo hili si sawa akuelewe tena hakiogopi fimbo ni kuomba toka yuko tumboni Mungu akuwekee mtoto ambaye utamwambia hiki akifai akakusikia.
  5. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Ombea kizazi chako mkuu usifikili kulea kuna ujunzi,kuna watoto toka wako tumboni wana ushetani ndani yake wanakuja Duniani kukamilisha kazi yao.Mtoto wa aina hii hata umlee vipi .
  6. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Kuna Vyombo Vya Habari vimefuta hotuba ya Nchimbi kwenye mitandao ya kijamii?

    Aisee Watanzania kuwatawala ni rahisi sana
  7. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Watanzania haawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja,kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania hawana msimamo mmoja?

    Uliwahi kuona wapi au kusikia wapi kama MAITI au MFU anakuwaga na msimamo.
  8. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu, Samia na Nchimbi wanatuchezea akili

    Naunga mkono hoja
  9. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Mi kinacho niuma Mungu ametupa mtu makini kama Lissu mwenye sifa kibao tunashindwa kumtumia dah!
  10. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Mpendwa nimeshapata nyumba ukuje kipenzi 😁
  11. Nuzulati

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Make cheke kwanza mi huko iwe jua,iwe mvua hata kwa usafiri wa ungo nitafika.
Back
Top Bottom