Naamini matokea haya ya ACACIA serikali iliyajua kwamba tukitibua hapa impact inaweza kuwa hivi sasa Watanzania wenzangu shusheni pumzi tufanyeni kazi tuiaminini serikali yetu.katika hali yakawaida ni ngumu sana kumnyang'anya mtu chakula halafu akakuacha hivi hivi tu matokea ni kwamba kama ana...
Ila watoto wa siku hizi na wenyewe pia ni shida tu,pole Mwl check hasa uvaaji wako na matamshi yako.mwili mshukuru mungu tu maana ndivyo ulivyoumbwa usikufuru.
Kwani sheria ya uhakiki imeanza juzi Mkuu? Fact ni kwamba ilikuwepo na kama uliweza kumuajiri bila kumhakiki hilo nalo ni tatizo,hii kitu ni shida bwana ngoja tuangalie tu maana nilisikia jana kwenye hutoba ya waziri Kairuki kuna kitu kinaitwa incomplete yaani mtaalam ameajiriwa kwa vyeti vya...
Upo sahihi, Mkuu kitu ambacho wengi hawakijui kuhusu rais wetu ni uwezo wake mkubwa wa kusimamia maamuzi no matter yupo wrong au right,ni kweli Rc amekosea tena sana tu lakini tunakosea zaidi kusubiri rais amtumbue wakati ameshaonyesha msimamo wake,sasa ni nani wa kutofautiana na rais?Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.