Recent content by nunu....

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mizengwe president's delivery bureau

    Jamaa hana chuki binafsi, anasema kile kinachojili ndani ya nchi yetu.. delloite nao matolori tu, watu wanapeana ajira na wakati watu kibao wenye utimamu wapo nchi hii, we kama umeshiba hujui wenye njaaa, ushapata kazi ushasahu ulikotoka, na wengine mnatunisha vifua mbele kwa kazi mlizopewa na...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Adexec oil and gas company!

    wezi haoo! venue wapi hawajui kunawatu wanaweza shinda njaa, hiyo interview au training? kwa ufupi ni wasanii aisee.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Presidential Belivery Bureau Jobs

    Wana JF, naomba mnijuze kama PDB-PRESIDENT DELIVERY BUREAU wameita watu kwa intavyuu, ingawa zoezi hilo inaonekana linafanywa na deloitte.. tjulishane marafiki.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Duties & responsibilities of academic officer ii

    Umetoboa, yaani fairly kabisaaa! Au kizungumkuti.. Tuaminishe basi.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Utoroli wa psrs

    Tunafanya mitihani! Wkt flan unashukuru kwa kile ulichopitia ndo kimetoka, kwa maana nyingine mtihani umeupiga.. Cha ajabu maksi ishirini, kumi. Nani aamini usahishaji wao, hata mitihani hatuonyeshwi, huu mchezo tu, wanauza ajira, kwa ufupi ni weziii.
  6. N

    JamiiForums Tanzania hivi PSRS sio wasanii kweli!

    Wana Jamii, nmeitwa wakati flani ktk usahili unaofanywa na PSRS na nkatoka patupu... nnashaka sana na watendaji wa hii sekretarieti, sina ushahidi hasa lkn nna hakika ajira zinauzwa pale, kuna mtu anaweza nijengea ujasiri kabla sijapanda basi! maana hii ni shinyanga-dar af unaenda kumbe watu...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Shirika la posta limeita watu kwenye usaili wa pili??

    bado hawajaita aisee! nmecheki na ofisi ya utumishi ya posta kwa njia ya simu, wamesema wiki ijayo wataachia na wataweka kwenye website yao. ilikua trh 19 si trh 20
Back
Top Bottom