Wana Jamii, nmeitwa wakati flani ktk usahili unaofanywa na PSRS na nkatoka patupu... nnashaka sana na watendaji wa hii sekretarieti, sina ushahidi hasa lkn nna hakika ajira zinauzwa pale, kuna mtu anaweza nijengea ujasiri kabla sijapanda basi! maana hii ni shinyanga-dar af unaenda kumbe watu washaajiliwa kitambo wanasubiri haka kaigizo kapite tu...