Recent content by Nunio

  1. N

    JamiiForums Tanzania Nyanya imekuwa bidhaa adimu Tanzania sababu ni waarabu kununua mashambani na kusafirisha nje

    Umedhihirisha ule usemi, "huna taarifa, huna haki ya kuongea" Eti fedha za kigeni, yaani mtu aingie machakani huko na fedha za kigeni? Zipi? Anayo account ya benki, ama iwe master/visa etc, anaingia kwenye atm zenu, Stanbic, Standard Chartered, Absa, CBA, NMB, CRDB, NBC, Equity etc, ana-draw...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ni viongozi gani waliaminiwa na JPM na ndani ya miaka mitatu tayari wamemsaliti kwa kauli na matendo?

    Sisiemu wote... Wapinzani wote, wakiongozwa na Mbowe... Wakazalisha CHAWA.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Vijana acheni pombe na Energy drinks, mwifwa

    80% itakwenda na maji kama ndio hivyo
  4. N

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Chato wajiandaa kumuenzi Rais mpendwa, Hayat Rais John Pombe Magufuli 17/3/2024

    Watashindana naye lakini ndo hivyo.... Wako mbioni kuziondoa coins, muda si mrefu watachapa noti za 100,000
  5. N

    JamiiForums Tanzania Shida ya Umeme wanaohusika wajiuzuru

    Miezi 6 waliyoongezewa imeisha lini kwani?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kauli za LATRA kuhusu namba za magari, kuelekea 17 Machi zimelenga kumhujumu Mama?

    Makuu kuu yanaangaliwa kwa reg number? - Kama ingekuwa kwa magari binafsi, siku hizi huoni LC300 zina number plate T...AAB? Idara ya usalama barabaranu ya polisi, jukumu lake ni kuuza sticker za usalama barabarani sio? Vipi kwa yule aliyeweza kununua zero km mwaka 2019? Kutakuwa na tofauti na...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Daaah, hawa ndo wanasababisha watu waishi kama wanyama.... Kwa huruma na ubinadamu, nilimtumia kiasi cha pesa kwenye simu, apate nauli ya kwenda Songwe, kula njiani na kumtumia mama watoto wake kwa ajili ya chakula cha jioni hiyo. Alinifuata nikiingia kwenye ka-mini supermarket pale Goba...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Ni kweli au ndo utani? Kama ndo ukweli wa fikra zako; Ni muda muafaka sasa kwa wewe kukabidhi kifaa unachotumia kutolea maoni kwa wenye maoni. Mwijaku + Doto Magari/Baba Levo = Wewe Ile wanayosema(ga), "mwenda tezi na omo, marejeo ngamani", basi wewe ndo Omo, Mama ni tezi. Hivi lengo la...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

    Hiyo comment ya tsh 300k kwa siku, ndio mara nyingi huwa ndo ukilaza wa grade ya juu kabisa kabla hujaingia kwenye utani!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini viongozi wa Yanga wamekomalia suala la kuweka utani pembeni?

    Utani upi? Wa kuwapokea wapinzani au kuvaa jezi zao?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kitovu changu ni cheupe. Je, kuna shida yoyote?

    Unahangaishwaje na kitovu mtoto wa kiume? Hiyo si maji ya chumvi uliyoogea, potezea!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

    Msosi ushakuwa anasa kwenye nchi hii ma LC300 kila kona ya nchi kwa kila kiongozi kuanzia level ya idara serikalini Discovery ni kwa wale wote walioibukia kipindi cha mama na Forester, CRV, Volvo TC, Highlander, Vanguard, Lexus, Harrier kalio la ngedere, ML, BMW X1, 3 na 5 n.k ikiwa ndo...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

    Sifuatulii mpira siku hizi, ingekuwa ni miaka ile ya 2015 kurudi nyuma, lazima ningekuwa nina moja mbili kwenye suala hilo. Ingawa najua, kuhonga timu kunatofautiana, ukiwahonga viongozi, maana yake ni kama umeihonga timu nzima; ukihonga mtu mmoja mmoja, sio kuhonga timu! Timu kubwa, si rahisi...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

    Nasikia sailent ocean alikuwa mufilisi..... Nazungumzia mpira ndugu, mambo ya kuhonga au kuroga siyafahamu! Mpira pesa, PSG na Man Utd wasingeteswa huko! Muhimu sisi ndo wale wale....mitano tena, anaupiga mwingi n.k
  15. N

    JamiiForums Tanzania GDP ya Tanzania ni Dolla Billioni 86 tuendelee kuongeza bidii ya kufanya kazi

    Kwa uelewa wako huu mkuu, naomba unipige shule kidogo; hiyo GDP ndio nini haswa? Ile ya TRA ya kila mwezi ni nini? Ile wanayotangaza akina Madelu kila June-July ni nini? Usd 86b si ni zaidi ya trilioni 200? Hiyo GDP ni kwa mwaka au tangu tupate uhuru? GDP inahusiana na nini haswa? Trilioni...
Back
Top Bottom