Recent content by nunca de creer

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya UN: Finland yashika namba 1 kwenye orodha ya nchi zenye furaha zaidi duniani; Tanzania ya nne kutoka mwisho

    Aaah wapi, wakwende huko. We are happy. Tanzania yetu ndio inchi ya furaha, hata ulimwenguni kote wanajua. Naye baba nyerere ndio wetu.......naye ndiye aliyeleta uhuruuuuuuuuu!!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Zimwi likujualo halikuli likakwisha- hawakukumalizia utamu ndg. Kizuri kula na mwenzio ndg. At least alikuwa na mahawala unaowajua kuliko usiowajua. Acha uchoyo ndg. Aaaaaaaah!!!!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ya Kikwete yanafurahisha

    1. Uungwana 2. Being charismatic 3. Utaalum wa kiswahili na matumizi ya tafsida ( yaani anakupiga dongo taaratib bila matusi makali makali) 4. Huduma za kibingwa za afya na mafunzo ya kibingwa 5. Umeme vijijini 6. Shule za kata 7. Stimulus package (aaaaaaaaaaah, daaah hapa mzee alitupiga...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Abdul Nondo alijiteka na kujisafirisha mwenyewe mpaka Iringa. Ladai alifuata mapenzi

    Nililojifunza ni kwamba jeshi LA police LIKIAMUA, linao uwezo wa kuchunguza Matukio yote yaliyotokea na kuja na majibu katika muda mchache. Hayo matukio mengine bado halijaamua tu kuyafuatilia.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Nimeboresha kanuni kuzuia wanasiasa kugombea Tanganyika Law Society (TLS)

    Hivi power ya AG inaishia TLS tu?. I hope anajua chama cha riadha Tz kinaongozwa na MTU mwenye cheo cha siasa au hapana. Na wakati Simba ikiwa na rais Mbunge/ mwanasiasa haikuwa issue. After all , MTU anayeitwa mwanasiasa ni nani?. Kila MTU in mwanasiasa. Tutajikuta tumezuia wote.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Serikali haiwaoni machangudoa wa Sinza?

    Malaya wanazaliwa wapi? Wanakomazwa na nani kuwa Malaya, umalaya wanajifunzia wapi? . Why kila kitu serikali?. Njia sahihi thabiti ya kuzuia umalaya ni IPI? Tuwa - castrate wateja wao? Wateja wao ni akina nani?. Mlee mwanao katika njia impasayo, vinginevyo atapasuliwa tu na walimwengu. Serikali...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Rais ni binadamu, Rais ana hofu ya Mungu, twende naye taratibu atatuelewa wananchi wake

    Weka ushahidi pasina shaka wa haya yote uliyololoja!!.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje huyu mtoto asome Shule ya kata lakini awe na ubora wa International School?

    Mnunulie vitabu standard/ recommended vya kutosha.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli juu ya kichwa cha treni kilichoanguka mkoani Kigoma

    Ni chenyewe, kilikuwa kinafanyiwa testing kabla ya manunuzi. Kimsingi tulikuwa tunadhibitisha ubora , uimara, matumizi ya mafuta na speed kabla ya kuvinunua.Another question please??!!!. Case closed.Aaaaaaaaah.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Familia ya Akwilina yataka uchunguzi wa kifo ufanyike na ripoti itolewe haraka

    Mimi taarifa hii naiweza tofauti. Maneno ya msingi ni uchunguzi ufanyike haraka, taarifa itolewe na mashtaka kudai fidia. Tutashangaa kujua/ kuona watakaoshitakiwa na familia na kudaiwa fidia.Kuna kakitu nakaona katika taarifa hii kako kitechnical. Kuna watu watabebeshwa mzigo na lawama.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la Maaskofu Katoliki huwa linapataje baraka na maoni ya waumini?

    The anointed . Wanaongea na Sir God, anawapa maagizo then wanayawasilisha kwetu. Hakuna swali wala mchango wa wananchi. Ukitaka kupeleka maoni mpelekee sir God atawaelekeza maaskofu cha kufanya.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ni maandamano au ni mapinduzi?

    Chama cha mapinduzi. Hapo neno mapinduzi katika context hiyo lilitumika kumaanisha nini? Albamu ya Process J ya Mapinduzi halisi, katika muktadha huo neno mapinduzi lilimasnisha nini? When we talk of Green revolution huwa tunamaanisha nini?. Punguza woga, uongo, ujuaji na kisebusebu ndg. Jioni...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Ujana maji ya moto.. Maeneo tata niliyawai kugegeda

    Duuuuh!. Tembea uone, dodosa upate majibu ya kweli. Anza na mwenzi wako. Ukiweza pia soma taarifa za NBS upande wa afya. Ya mwaka 2010 inasema kwa wastani ( zingatia neno wastani), wanaume walikuwa wamefanya na wanawake kumi na wawili na wanawake walikuwa wamekiri kufanya na wanaume sita...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ambulance Tanzania zinafanya kazi gani ni kuhamisha wagonjwa tu hazifuati wagonjwa majumbani?!

    Hizi tunazoita ambulance zaidi ya king'ora na kutembea speed hazina lolote. Nurse / Doctor huwa anakaa mbele na kuvunja kishoka huku mgonjwa akiwa nyuma na ndugu zake. Nothing is being monitored, na Mara nyingi hakuna huduma inayotolewa.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Ambulance Tanzania zinafanya kazi gani ni kuhamisha wagonjwa tu hazifuati wagonjwa majumbani?!

    Kwa maana ya gharama za uendeshaji, zile zinatumika ku- shut wagonjwa between hospitals. Ya majumbani nafikiri haitolewi. Kutoka majumbani kwa kutumia ya serikali inakuwa changamoto nyingi. Hata hivyo huku mikoani sio kila mgonjwa anapelekwa bure na ambulance za serikali ( wajawazito, chini ya...
Back
Top Bottom