Vile vile nasikia anahaminisha uma kuwa ana Phd na sio kweli,mwaka 2004 alifukuzwa USA na alikaa kazi kwa muda mrefu sana,lakini kwa msaada wa mzee Bomani(Mke wa Bomani ni dada wa mama wa James Mbatia) alipewa kazi Chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM) kama mwalimu wa Hesabu(Mathematics).
Mbunge huyu wa Afrika Mashariki alifukuzwa Marekani na kuzuiwa kuingia nchini humo kwa miaka kumi +,pia inasemekana hayupo sawa kiakili.Anaye mfahamu vizuri atatueleza zaidi.
============================
SOURCE: Guardian
Nakingine kinacho shangaza ni baadhi ya vyombo vyetu vya habari vinamkandamiza shyrose ambaye ni mtanzania,hiki ni kitu cha ajabu sana,ni sawa na mwanaume kumsifia mchepuko na kumponda mkeo wa ndani.Badilika mtanzania.
Kuna watanzania wana matatizo sana wao ni kukurupuka tu,waakiambiwa vitu awachuji wala kupepeta ,dada rose yeye ameshakana kuwa hayo mambo sio kweli ila wabongo wanakomaa tu.
Kwasasa kura zipo hiviiiiiiiii
Malumbano ya Uraisi ndani ya CCM. Je kati ya hawa unamuunga mkono nani?
Bernard Membe
14%
Edward Lowassa
44%
Emmanuel Nchimbi
0%
Fredrick Sumaye
2%
January Makamba
1%
Samwel Sitta
32%
Kwa sasa bado kuamua
7%
Total number of votes: 1604
Quote By MTAZAMO Tusisahau, umeme juu,Gasi juu na subirini impact yake viwandani,Mashambani n.k ili tujifunze kusimama na kushabikia ya msingi.Huyo Zitto anakwenda kunywa mvinyo wake baada ya ushindi na Msando alafu waandamanaji watakutana na giza majumbani mwao baada ya luku kukata ghafla...
East Africa Radio ‏@earadiofm BREAKING NEWS: Watu wenye hasira mkoani Singida wamechoma moto basi la Mtei baada ya kugonga pikipiki na kuuwa watu watatu na kujeruhi mmoja
Nilikuonea huruma sana kule jukwaa la sport,ulivyo kuwa unamtetea jamal malinzi kwa ukabila alioufanya.
Inaonesha una hulka fulani hivi..........................
Nakumbuka sana msiba wa regia mtema,ambapo mtu mzima ulipanda hadi kwenye kaburi ili kuona kama dr slaa atasalimiana na Kikwete,kweli kuna watu na viatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.