Recent content by numeric

  1. N

    Nafasi za kazi TANAPA kupitia Utumishi

    Habarini!! Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kupeana updates za nafasi za kazi kutoka TANAPA kupitia Utumishi zilizotoka mwezi wa kwanza mwishoni. Wale Askari Wanyamapori, Madereva, Manesi, Maafisa na Wahifadhi tupite hapa kupeana taarifa maana muda unazidi kwenda tu bila kuwa shortlisted au...
  2. N

    Ulikaa muda gani mtaani tangu ulipomaliza chuo mpaka kuajiriwa?

    Tangu 2015 mpaka leo nipo kitaa tu na hata ndoto ya kuajiriwa haipo tena ila maisha yanasonga tu.
  3. N

    Msaada: Mdogo wangu ana stress za maisha

    mwezi wa saba tu anajistresisha je graduate wa kuanzia 2015 kurudi nyuma mbona maisha yanaendelea tu
  4. N

    Nafasi 3 za Kazi ya Udereva katika Wilaya ya Kyela, Mkoani Mbeya

    Hii napita nayo nina vigezo vyote japo nina shahada
  5. N

    Mshahara wa Tsh 1.4M (gross salary) nitapokea take-home kiasi gani?

    kadi za harusi tatu kwa mwezi almost 100k
  6. N

    Nina fine ya gari tangu mwaka Jana 2018 sijailipa

    ni elfu 60 tu haijabeti zaidi ya hapo
  7. N

    Kama unajijua una lower second class GPA, huwezi kuajiriwa utumishi!

    binafsi nadhani kitambulisho cha NIDA ni panga jipya
Back
Top Bottom