Nakuunga mkono 100% kaka jamii forum inabidi irudishe hadhi yake
Back to your point umefkiria mbali sana this is what we need waweke machine na vitambulisho mtu akipita ina jaza log kaingia saa ngapi na katoka saa ngapi
Baada ya kutimuliwa ndo aanze kuwa mkweli hahahaha tutaamini vipi anachokisema ni cha kweli au ana nia njema na watanzania
Au anataka kufa na wenzie sababu ashakosa kazi tumia akili sio makamasi angekua muadilifu angeshasema kabla ya kutumbuliwa kajipi kake
Nafkilia kwa nguvu "just thinking out loud"
Hawa acacia wanasafirisha makontena ya michanga almost kila siku ni kweli inasemekana kuna madini kama silver na coper ila raisi wetu anavyooenda sema na media inawezekana taarifa hii asiiseme kwa vyombo vya habari kweli au jamaa wamesitisha...
Kwanza ulichofanya ni highest point of evil
Mueleze mmeo na ikibidi muachane kwa amani anza maisha yako mwenyewe ndo solution
Cha pili kwa style hiyo nimepata lesson sitamani kabisa ndoa hehehe
Eeeh kumbe na hili swala lilikua ni la kisiasa mi nilidhani ni la kijamii karibia tutaanza kuangaliana ht kanisani miskitini misibani na kwenye shughuli nyingine za kijamii kwamba ccm wanafanya nini act na ukawa nk.. wanafanya nini
mtoa hoja msitugawe sie wote wamoja
Toka shetani Tokaaa Naamuru shetani amuachie huyu Baba tenda miujiza aweze kuona angalau uhalisia wa mambo pia ajifunze sio kila anaye kupongeza anafurahia unachokifanya
Naomba haya katika jina la yesu kristo
Ameni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.