Kulea kunahitaji uvumilivu mkubwa, busara na hekima. Hakuna siku uliwaudhi wazazi wako? He wangekufukuza Leo ungekuwa na uwezo wa kupata huyo mtoto. Watoto wanakanywa hawafukuzwi una mziria nani ?
Usipoangalia unaweza ukajikuta unatengenezea watu dili. Anza wewe na Marafiki hapo ulipo weka mfano wenu kwenye hiyo mitandao na wengine watafata.
Haifai kuwatenga walemavu kwenye shule zao peke yao inatakiwa wajumuishwe na watoto wenzao ili iwe rahisi kusaidiwa.
Airtel wabovu kwenye huduma za pesa hiyo Airtel Money ni dolo sana yaani ukikosea kutuma pesa tu imekula kwako hakuna kuongea na mhudumu sa ndo nini. Voda kwenye M-Pesa ndo nawapendaga ( in Mobeto's hub voice)
Tatizo wanahujuma tu Mkuu Kilwa, Bagamoyo, Lindi, Mtwara naTanga zimekanyangwa na mfumo makusudi kabisa. Lakini matokeo bado ndo hayo Waislamu hasa Waarabu Wamelisi Biashara toka Karne kwa Karne. Hawawezi kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa mikono yao.
Umeona mumy eee yaani wanaume wengine wanatia aibu aiseee halafu bila haya wanakuja kujitangaza hadharani ushetani wao eti kwenda kuchezewa na vitoto vinawashika hadi nanilii...
Unamwita Mwenyezi Mungu katika mipango yako au huwa unaamini akili yako tu.
Huenda Mwenyezi Mungu anataka kukuonesha kwamba yeye ndiye muweza wa yote kuliko wanadamu ndiyo maana anampa aliye wakawaida unayemdharau wewe kwa macho yako ya kibinadamu. Kila mmoja wetu Mungu kampa kitu cha thamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.