Huyu Mwanamke Ana Maana Gani?

Huyu Mwanamke Ana Maana Gani?

habari wakuu za jioni
mimi ni mume na baba wa mtoto mmja wa miaka kama 4 na nmedumu kwnye ndoa takriba miaka 5 nko na hyu mwanamke.sasa tokea huyu mtoto kazaliwa huyu mtoto simwelewi kwanza hajafanana na mimi hata kidogo pili sehemu zake za siri ni kubwa kuliko zangu yani huyu mtoto kifupi ana maumbile makubwa mimi ni madogo yaani nina kibamia.sasa jana jioni mke wangu alikuwa anamogesha huyu mtot mbele yangu af anaimba mwanaume mashinee na kitoto kinachekelea tu huku akitoa maneno ambayo siyaelew nahis ananisema kabisa nanukuu uko mtto uko hivi hadi mtu flan hta nusu afiki ukikuwa je na kicheko juu hapa sina raha nikimwangalia dogo asila ndo zinapanda sasa sijui nifanyaje kwan mi nmependa kuwa na kibamia jaman namwacha huyu mwanamke na dogo akatafute baba si ukoo wetu wte ni vibamia si mwanangu
Hahahahaha loh umenifanya nicheke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Totally huna akili hata zile ndogo za kuambiwa, danganya wendawazimu tu, mtoto wa miaka minne awe na mashine kubwa kuzidi ya MTU mwenye umri wa miaka 18+, sasa wewe utakuwa una kidude kama mfuniko wa pen, halafu mwanao ndio anakibamia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenichekesha 😀😀😀sana hii habari lol
 
Hayo mambo yapo na bado hayana mantiki yeyote ile uwe na maumbile makubwa au madogo, kikubwa maumbile yafanye kazi kwa ufasaha na usahihi.

Pia wewe kama baba huna haja ya kufikiria mambo yote hayo fanya bidii familia yako iwe na maisha mazuri kwa sasa na baadaye.
Kuwa baba bora katika familia yako na uwe mfano wa kuigwa katika jamii.
kunya soda 1 ntakuja kulipia
 
Chai....


Anyway

Afanane na wewe kwani mkeo ana photocopy machine mkuu???

Mtoto sio lazima afanane na wazazi.

Kama kweli upo ndoani miaka 5 ni wazi inajua kuwa inapaswa wewe na mkeo mzungumze na kusolve misunderstanding zozote mlizonazo kwa afya ya familia yenu
 
Back
Top Bottom