Dirisha limebakisha masaa tu lifungwe hatuna hata Tetesi ya kusajiri Beki ya kushoto wala striker pale mbele wakati huo Ostazi Benzema hana Timu kwa sasa kwanini asitue hapo OT aje aongeze Leadership kwenye kikosi madogo wanajisahau sana en we still have a Long way to GO mpaka sasa tuko WarmUp...
Watoe tu walisema dirisha hili watatumia zaidi ya Pauni milioni 250 hawajafikisha na muda huo usisahau wame0ata ka mgao kwa Greenwood kama sikosei Pia wamebana Pauni milioni 45 ya Rasmus, hatutaki ligi zichanganye tuanze kulia Tungejua.
mkuu hawa hawa ma dogo wa u21 huwa nawaona na huyu Dorgu mapepe acheni basi kurahisisha mambo tutakuja tuchakazwe mpaka tuishiwe appetite ya kuchat humu mimi ninawaambia.
Mkuu hakunaga kitu inaniuna kama kuendelea kuona Bado Tunamtegemea Shaw na Dalot kule nyuma nazani umeona leo uchezaji wake dhidi ya Ipswich Yule Winger Fatuwa bwana Luke alikuwa anamwacha atangulize mpira na anashindwa kumdhibiti kwa Mbio kusema kweli tu leo tumecheza vibaya though Licha ya...
ulIkuwa sahihi mkuu na wamenikosha sana, sema nikikumbuka hatuna Backup ya LB na hii Stricking Force yetu ya Sèsko na JZ naona Bado hari ni Tete sema naona Balde Barca wanamwachia sijajua Dogo anashida gani tusije kubeba kiraka.
Samahani kama ninazidisha mahaba kwa Baleba ila huyu Jamaa sijajua kwanini ninamuamini kuzidi maelezo japo hakupata Game time za kutosha, kuna muda nazani alivyokiwasha AFCON nayo ilinipa picha Dogo bado hajapwaya kuongeza nguvu yake OT.
Sema naona watu wengi sana washamkatia tamaa (Baleba) na...
Bado sielewi kwanini Baleba hatui tofali choma yani sielewi kwanini.
They are out of options mzee inawabidi wajaze mapengo tu mwisho wa siku next window waseme pesa walitumia dirisha hili 😎.
Ningeshangaa sana kama ningemuona Tchouamen katua OT baada ya kukubari Paycut kwenye mshahara wake hivi kweli unawezaje kujifikilia hata kwa Dakika mbili umpunguzie mshahara Tchouamen anayepokea 210k kwa wiki huku tunae mchezaji fara tu kama Mason Mount anachukua £250k per week hata kama ni wewe...
Heartbreak kama hii nilishawahi ipata kwa Demu wa Kwanza kabisa nilimpata Form 3 akaniacha niko Form 4 karibu na NECTA naona maumivu yana shabihiana kabisa kudadeq 😂, nilikuwa nimemkasilikia Fernandes kabla sijamsamehe Tonali kaingilia kati hizi siku mbili naishi kwa Taaaaaaabu sana ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.