Samahani kama ninazidisha mahaba kwa Baleba ila huyu Jamaa sijajua kwanini ninamuamini kuzidi maelezo japo hakupata Game time za kutosha, kuna muda nazani alivyokiwasha AFCON nayo ilinipa picha Dogo bado hajapwaya kuongeza nguvu yake OT.
Sema naona watu wengi sana washamkatia tamaa (Baleba) na...
Bado sielewi kwanini Baleba hatui tofali choma yani sielewi kwanini.
They are out of options mzee inawabidi wajaze mapengo tu mwisho wa siku next window waseme pesa walitumia dirisha hili 😎.
Ningeshangaa sana kama ningemuona Tchouamen katua OT baada ya kukubari Paycut kwenye mshahara wake hivi kweli unawezaje kujifikilia hata kwa Dakika mbili umpunguzie mshahara Tchouamen anayepokea 210k kwa wiki huku tunae mchezaji fara tu kama Mason Mount anachukua £250k per week hata kama ni wewe...
Heartbreak kama hii nilishawahi ipata kwa Demu wa Kwanza kabisa nilimpata Form 3 akaniacha niko Form 4 karibu na NECTA naona maumivu yana shabihiana kabisa kudadeq 😂, nilikuwa nimemkasilikia Fernandes kabla sijamsamehe Tonali kaingilia kati hizi siku mbili naishi kwa Taaaaaaabu sana ndugu zangu...
Kaka sielewi ninajihisi nini kama ni Hasira ama huzuni maana naona kabisa furaha yenyewe sina kwa kilichotokea Leo sokoni bwana Mr Mike atakubariana na mimi tu kuwa INEOS wanaupuuzi kiasi ambacho itatuwia ugumu san Mashabiki wa Man U kuwasamehe ila acha tuone sisemi sana.
Na washamalizana nae City 'Here we Go'' na imeniuma saana sana ule usiku wa Jana na ndio nazidi kuchukia tunavyopenda Tetesi kuliko usajiri.
Huenda washaongea na Papa Perez kuhusu Tchouamen wakaambiwa wasikilizie WC iishe Dogo ni wao?..?
Ona sasa naanza kujifariji tena 😂.
Ujue kaka United wanataka kubaki na discipline sokoni, lakini wakati fulani wanatakiwa kulipa tu ili kuepuka kukosa Top targets zetu we jifikilie ikatokea Spurs wametoa hiyo Pauni milioni 85 kwa Mateus Fernandes kutatokea nini na muda huo washasema Newcastle Tonali Bila 100+m hatoki si...
Siku zinazidi kwenda Tutaendelea kusajiri kwa mfumo huu mpaka mwaka Gani kwa ni Lazima Tupambanie ubingwa 2028?..? kwanini tusianze muda huu ku ili tuwe tunauona na utamu wa kufukizia ubingwa?..? na vp kama hiyo plan ya 2028 isipofanya kazi huo mwaka?..? Maana tumejipa matumaini ya kuzidi san...
Nilitaka kusema hivyo tutafte Ligi nyingine mchezaji kama ni mzuri ni mzuri tu sio Lazima hawa EPL Proven imekuwa michosho tu kila chezaji linaanzia M80+ bado wanataka mishahara mikubwa yani uhuni kila sehemu, Pia kuhusu swala la Bei kufikia sasa hivi tushaona wachezaji wote bei Ghari sio sababu...
Kusema kweli mimi kama mimi ninaona hawa Jamaa INEOS walikuwa wanatuchota akili tu toka mwishoni mwa msimu wakidai E.Anderson ndio Kiungo wao nambali moja kwenye orodha ya usajili ila kilichotokea wenyewe mnaona hawajatuma official Bid yeyote wala kuingia mezani kuonyesha interest na mchezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.