Waasalamu Wakuu.
Kumetokea wimbi la wizi wa pikipiki za vijana wetu ambao wamechagua hiyo kazi kujiingizia kipato.
Hali inazidi kuwa mbaya maeneo mbalimbali mpaka inaonekana kuendesha boda boda ni kazi ya hatari.
Lakini wizi huu umetokana na serikali kushindwa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.