Je, huoni kuwa ni Zanzibar ni nchi , ina katiba, ina bunge lake, ina rais wake, ina wimbl waje wa taifa? xHii Zanzibar iliungana na nani mpaka tukapata Tanzania? Hiyo nchi iko wapi?
Kama Zanzibar ni nchi mbona haichangii cho chote kwenye muungano?
Wabunge wa Zanzibar hushiriki kwenye vikao vya...
Je, rais ni mwajiriwa wa serikali, kwa marupurupu ni makubwa kiasi hicho.
Ni kitu gani anakikosa ambacho hakujilimbikizia.
Asilimia mia marais huwa ni wafanya biashara kwa kuwa na pesa za kutosha.
Je, hao waliopendekeza na waliokubali sio wahujumu uchumi?
Mimi naona umeamu kuolewa naye kwa sababu ya mazoea uliyoyaendekeza. Kama mliachana kwanini ukubali kumrudia?
Pili mkifunga kwa siri hiyo ndoa ina maana mke wake hatakuja kujua?
Amka katika usingizi huu wa mapenzi, na matamanio, je ungekuwa umeolewa wewe na mwanaume anafanya hivyo kwa mwanamke...
Nami napenda kuchangia kwa haya maneno haya mawili ;mtu na binadamu
Kwa mtazamo wangu neno binadamu limetafsiriwa kwa mtazamo wa kidini zaidi - watu wote wametokana na Adamu, hiyo imeleta maana ya Bin - adamu au wana - Adamu. Haina tofauti na maana ya mtu. Mtu ni tafsiri ya kijumla sahihi ikiwa...
Pole sana na mapito hayo yote. Ukweli ndoa sehemu kubwa ni tendo la ndoa. Mwanamke anaposumbua eneo hilo huwa linaleta usumbufu kweli.
Ningeomba kama utatafakari ni kumfikiria jinsi alivobadilishwa kiakili. Kwanza kama unaweza nenda kwa yule anakosali. Akueleza maana ya ndoa inavyofundishwa...
Nafikiri kuna jambo ambalo hulifurahii kuhusu mwenzako, naona lijadili, kama hufurahishwi kwenye mambo ya chumbani, kuwa wazi zungumza na msomeshe mwenzako.
Kupenda sio hisia kupenda ni uamuzi wa moyo huwa hisia, hisia zinafuata uamuzi, hisia zinafuata uamuzi Jaribu kutamka kila siku nampenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.