Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kwa hiyo wewe unataka kusema kila alitakalo Lissu ndilo lafaa kuwa kwenye Katiba?
Mantiki ya andiko inakosa maana. Sioni umuhimu wa kuandika wewe ni CHADEMA au CCM.
Jenga hoja yako. Katiba tunayoongekea ni ya nchi. Siyo ya CCM wala CHADEMA. Kwa fikra zako unaamini kuwa CHADEMA wote wanataka katuba mpya, na CCM wote hawataki katiba mpya?
Wananchi walio wengi, webye vyama na wasio na vyama, wanataja katiba mpya. Hilo lilidhihirishwa kwa data, na tume ya Warioba. Kwa sasa, zaidi kinachogomba miongoni mwa wananchi, ni timing.