Katika utafutaji wangu nmejikuta nikienda kwa waganga mara kadhaa.
Kuna mganga mmoja niliona amenisaidia jambo fulani nikatokea kumwamini. Kwa miezi mitatu mfululizo biashara zangu zilikua haziendi vizuri sana nikajikuta nmeingia katika madeni niliyoshindwa kuyalipa kwa wakati.
Kuna mdeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.