Unajuwa ndio maana tunasema katiba ibadilishwe ili iendane na mfumo wa vyama vingi, kwani bado CCM wanadhani ni sawa na wameruhusu vyama vingi ili kukidhi masharti ya IMF/WB etc. uongo mwingi bado, mfano Labor uingereza wanaweza kumhoji PM Gordon Brown kuhusu matumizi mabaya ya fedha na madaraka...
Unajuwa kama huwezi kuendesha mzigo we 'hit and run' kwa sababu hata hao wenye pesa anawapa presha unakuta mzee akimuona hata na kaka yake roho inakuwa juu, Kuna mademu wengine ni 'viburudisho' I mean not every woman can make a wife!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.