Recent content by Ntozi

  1. Ntozi

    Gharama za engine 1zz,gear box na control box yake

    Naomba namba ya simu. yangu ni 0754651698.Niko serious mkuu
  2. Ntozi

    Gharama za engine 1zz,gear box na control box yake

    Wadau naomba kujua gharama ya kupata vifaa tajwa hapo juu kwa wenye uzoefu na hiyo biashara tafadhali.
  3. Ntozi

    Kenya2022 Raila Odinga anatapatapa: Ameibuka na hoja tofauti, sasa anadai Ruto hakufikisha kura 50% + 1

    Vyovyote iwavyo,angetumia hekima ya utu uzima wake angekubali yaishe, angejiongezea heshima na legacy Bora kabisa
  4. Ntozi

    Hizi ndio bei za mbolea ambazo wakulima watanunulia kuanzia Agosti 15, 2022 baada ya bilioni 150

    Wauzaji sasa watakwambia walichukua mzigo kabla ya ruzuku,wengine wakwambia Wana mzigo store tangu msimu uliopita ambao walichukua Kwa bei juu iliyopangwa na serikali hiyo hiyo.sijui itakuweje hapo.
  5. Ntozi

    Rais Samia tusaidie, Uteuzi wa DCI Kingai, Watanzania tunaenda kuzikwa wazima wazima

    Wengi wamesikitikia huu uteuzi,na hata alipoendelea kuwa RPC wa sijui kanda maalum watu hawakuwa na amani.Vyovyote iwavyo,lakini huyu jamaa kesi ya Mbowe ilimwacha mtupu Sana.
  6. Ntozi

    Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

    Ni ubinafsi tu.mambo mengi yapo hovyo.wangewaacha akina mdee waendelee na hilo Bunge,na chama kama chama waendelee kujipanga kwa yajayo wapambanie katiba mpya na zaidi tume huru ya uchaguzi
  7. Ntozi

    Lengo la ruzuku ni kushusha bei ya mafuta, Kwanini yamepanda tena?

    Una uhakika ruzuku ilitolewa mkuu.
  8. Ntozi

    Fastjet ilikuwa mkombozi wa wasafiri

    Kama serikali ipo serious na biashara huria,basi ilikuwa ni wakati mwafaka kujadiliana na Fastjet ili warudi kuendelea na biashara yao ya usafirishaji nchini. Jamaa walikuwa smart sana na waliliteka soko vizuri sana. Bei zao affordable, na walizingatia muda kweli kweli. Mambo ya serikali...
  9. Ntozi

    Kipanya: Ukiteuliwa Usimdharau Makamu wa Rais

    Kuna siku wanakuwaga Marais hao
  10. Ntozi

    Siri ya Pinda kuongezwa kwenye ‘Kikosi Kazi’ ni wajumbe kuelemewa na hoja ya Katiba Mpya

    Kwa wanaomjua vizuri wanajua yeye ni nani na ushawishi wake ni mkubwa Kwa kiwango gani.Ushawishi ni zaidi ya kuwashawishi tu watu.
  11. Ntozi

    Rais kutokupokelewa na Rais mwenzake: Tutofautishe kati ya State Visit (Ziara ya Kitaifa) na Working Visit (Ziara ya Kikazi)

    Kwahiyo tuseme nchi mwenyeji haiwajibiki chochote kwa Rais aliekuja kwa ziara ya kikazi?Usalama wa Rais katika nchi hiyo inakuweje?unaweza kuwa umeeleza ukweli lakini practically inaweza isiwe hivyo.
  12. Ntozi

    Sarakasi za Mbunge kijana na somo kwa vyama vya siasa wakati wa uteuzi majina ya wabunge

    Labda bangi inahusika,maana yenyewe Ile Kwa kurahisisha mambo na kuona yote Sawa ni kawaida Sana.Ubongo ambao haujasisimuliwa na chochote,hujua kipi kifanyike wapi na lini.kipi kisemwe sasa na kipi kisubiri.
Back
Top Bottom