Chama chakavu ndo kipi hicho? Kinachoongoza nchi au?
Unajua nafasi ya Mkoa wa Shinyanga kiuchumi?
Unajua kuwa Mkoa wa Shinyanga una idadi ndogo ya kaya maskini(kaya 33,000), ukilinganisha na Kagera (kaya 66,000), Arusha (kaya 45,000), Mbeya (kaya 68,000), Mwanza (kaya 59,000). Upo hapo?