Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mwanamke mmoja mkoani Dodoma amenusurika kuuwawa baada ya kutaja kero zinazowakabili kijijini kwao kwenye mkutano wa mbunge wa jimbo lao, mwanamke huyo imebidi ahame makazi yake kuokoa maisha yake