Recent content by Ntiliabhose

  1. N

    Mwandishi wa Habari wa ITV Austere Malivika

    Unajifanya mswahiliii haya na wewe KIRI ni fasaha?
  2. N

    Vijana wazalendo waliokuwa wanaelekea Ikulu wamekamatwa!

    Hahahahahahah,ila ngoja tusubiri tamko lake nina imani ujumbe kaupata
  3. N

    Nimeumia sana

    Kama hata mia yake huyo mtoto hajui y usisimame ww kama ww,ww ndo umemzaa huyo mtoto uchungu unaujua,simama imara fanya yako kwa ajili ya mwanao mbona watoto wengi tu wamelelewa na mama na wako poa,
  4. N

    Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

    Wanawake wangekuwa wakatili kama mtoa mada alivyokomalia nakwambieni dunia ingekuwa sehemu yenye huzuni na isiyofaa kuishi,tuangalie kwa mama zetu waliotangulia kuona jua,waulizen ni maudhi mangapi wamefanyiwa na baba zetu na bado wakasamehe na kuwastili na aibu,sasa makosa hayohayo wangefanya...
  5. N

    je ni madhara gani anaweza kupata mtoto anayenyonya maziwa ya mama ambaye ni mjamzito?

    nguzi wa kitaalamu unaonyesha kwamba hakuna madhara kwa mwanamke kuendelea kumnyonyesha mtoto mchanga iwapo atajikuta amepata ujauzito. Hayo yamebainika wakati uchunguzi mwingine unaonyesha kwamba asilimia 86 ya vifo vya watoto, vikiwamo vya utoaji mimba, vinasababishwa na wanawake...
  6. N

    je ni madhara gani anaweza kupata mtoto anayenyonya maziwa ya mama ambaye ni mjamzito?

    Hapa unaweza usipate majibu ndugu yangu mzaa mwingi,hayo maelezo nimeyatoa kwenye post moja ya siku nyingi humuhumu ila kwa sasa ingia google andika ujauzito au mimba na kunyonyesha utakutana na majibu mengi ya swali lako!
  7. N

    je ni madhara gani anaweza kupata mtoto anayenyonya maziwa ya mama ambaye ni mjamzito?

    Re: Swali kuhusu madhara ya mtoto kunyonya wakati mama akiwa mjamzito Kuna siku nilikuwa namsikiliza mtaalamu akasema wakati wa ujauzito mtoto anaweza kuendelea kunyonya hadi miezi sita au saba. Ila kipindi ambacho mama amebeba ujauzitomwingine kunakuwa na mabadiliko ya homoni ambayo...
  8. N

    Bei ya toyo guta

    Habari wanajamvi,nahitaji msaadawenu wa mawazo,kwa anaejua bei ya hizi toyo za miguu mi3 kwa ajiri ya kubebea mizigo zinauzwaje?na wazoefu wa biashara hii ukimkabidhi mtu anakupatia shimgap kwa siku?
  9. N

    Nafika tu nyumbani si nikanuswa…….c-h—u-p--i ,kumbe hata yenyewe niligeuza

    Mbafuuuu sana nawachukia wanaume dizaini yako,sa sijui hapa ulikuja kushauriwa au kutuonesha kwamba ww ni kidume na unahaki za kumcheat mkeo,make naina unafurahia tu kwa majibu yako ila nakuapia,one day one time UTALIA kama unavyomliza mwenzio,na sie wanawake tuko hivi tukichokaa tunachoka...
  10. N

    Nafika tu nyumbani si nikanuswa…….c-h—u-p--i ,kumbe hata yenyewe niligeuza

    Mfyuu!!! et unatumia ndom jee hilo kovu uliomwekea mwenzio moyoni utalitoaje.we subili waku......mbee mke ndo utajua kama MKE ANAUMA ama lah
  11. N

    Nafika tu nyumbani si nikanuswa…….c-h—u-p--i ,kumbe hata yenyewe niligeuza

    Kaka hapo uko sawa kama ulikuwa kichwani mwangu,mie mume wangu kanicheat tena na wanawake zaidi ya wawili na kila kukicha anatafuta wengine nimejua so hapa napanga mashambulizi ya kimya kimya ili nami niwe happy coz sitaki stress, hisia zangu kwake zimepungua,sina raha nae kabisaaa.hata kudu...
  12. N

    Shujaa: Maj Gen Mwita Chacha Marwa "Kambale" Afariki

    Leo ndi nimejua abt huyu gen.marwa(KAMBALE NA WENZIE SUJUI MTI MKAVU) historia inasisimua nimeona tbc 1 vita ilivyokuwa du MUNGU IBARIKI TANZANIA
  13. N

    Kipindi cha Uswazi: ni ajabu, angalia!

    Jamani na mie nimemuona loh hatari jamaa anakipaji kweli
  14. N

    Mtoto wa miezi minne atupwa akiwa hai maeneo ya Bamaga Mwenge...!!

    Jamani binadamu tumeumbwa kusahau yaan kashasahau kabisa taabu Za ujauzito na hata uchungu wa leba, Lakini tusijaji sana coz hatujii nini kipo nyuma ya pazia uenda mama yake kaenda kujiua na maswaibu yalomkuta hatujui
Back
Top Bottom