Ushauri, mzibie njia zote za yeye kupata pesa kutoka kwako uone itakuwaje,yaan kila akikuomba pesa mwambie umebanwa hauna then uone ata react vipi, inawezekana pesa zako umezi expose sanaa kwake ndo maana anaona n rahisi kuzipata kutoka kwako, inawezekana ana nia nzuri tu na wewe ila wewe...
Ukiingia kwake bila ruhusa yake anaweza akakushitaki kwa kosa la kuingia kwa jinai, na ukichukuwa kitu chochote humo ndani pia anaweza kukushitaki kwa kosa la wizi, na mwenyekiti hana mamlaka kisheria ya kuruhusu ufungue nyumba ya mtu wakati hayupo na uchukue vitu, wewe na mwenyejiti mnaweza...
Aliniambia hiv mwangu nakwambia kitu leo kuwa, kwenye hii dunia unaona watu wanahangaika sanaa kutafta mali,
Lakini leo nakwambia kuwa mali siyo ngumu kuipata ila kigumu ni kulinda mali uliyo nayo maana ukiwa na mali utakutana na mambo yote yaliyopo kwenye hii dunia, mazuri na mabaya je...
Habari za wakati huu ndugu zangu, mmi ni kijana mwenye 27yrs nmekuja hapa nina changamoto moja ninaomba msaada wa kimawazo au solution ikibidi, ipo hivi;
Mwaka 2020 nlikutana na manzi mmoja ambae alikuwa ni mzuri kiukweli, alinizidi kila kitu isipo kuwa pumzi tu na umri. Nilimtongoza na...
Manufaa ni kunufaika tu nakusepa umuhimu ni jambo linalokufaa wakati wote,
Mtu anataka kunufaika nawe tuu kwa jambo lake asepe so usimpe nafasi,
Mtu wa muhimu kwako niyule anayesimama nawe bila hata manufaa
Hivi ndivyo nmemuelewa mzee hapo mwisho
Mkuu mimi ninashida moja nikiamka asubuh nakuea sikumbuki chochote nlichoota labda nikistuka ndotoni kwa wakati huo ndo naweza nikaikumbuka ndoto yote, nifanye nini ili niwe nazikumbuka ndoto asubuh?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.