Mzee umesema ukweli kabisa hata mimi nimeshuhudia viongozi wakigawana pesa za miradi ya shule na zahanati katika vijiji vya goweko nslololo na kuacha maboma yakiwa hayaendelezwi na pesa serikakali viongozi wako busy kuwalazimisha wananchi wajitolee na kuwashtaki Kwa kutojilea huku wao wakinifaka...
Naomba kujuzwa hivi ziwa Tanganyika likitokana na nini Kwa maana kumekuwa na dhana mbili Moja ikisema ni ziwa Tanganyika likitokana mvua na mito na mabonde nyingine ikisema ni ziwa likitokana na volcano sasa naomba kujua ipi sahihi kati ya dhana hizi mbili
Sukuma gang Kwanza hamna hata hoja hivi benki zikifungwa nchi itaendelea vipi hamuoni nchi hii ilikua kwenye hatari ya kufilisika ndiyo maana miradi ilikua inaendeshwa kwa pesa za kukopa china tena kwa riba ya juu zaidi halafu mkabaki mnadanganywa kwmba ni pesa zetu
"Siasa Ina sura Nyingi, Vijana Tubadilike Tuwe Watu Wa Logic Tukashinde Mihemko Yetu." -ntigahela, Mwanaharakati Huru.
Vijana Tumekariri, Tunaendeshwa na Mihemko ya Kisiasa, Yaani Tunaamini Lugha Kali, Uhasama wa Kiitikadi ndio Upinzani Hasa, Kumbe Siasa Yenyewe Inasura nyingi, inarangi nyingi...
TUNAWEZAJE KUIONDOA CCM KWA KUDHIHAKI KAZI ZA WANANCHI?
[emoji117]Ndio Bodaboda ni kazi Kama zilivyo kazi zingine halali.
[emoji117]Pikipiki ni usafiri wa umma Kama yalivyo Magari, Ndege na vyombo vingine vya usafiri Kuna wanaotumia kama chombo binafsi Cha usafiri lakini wasionavyo wanachukua...
Mhe.Tundulisu amethibitisha Chadema kuanza kupokea Ruzuku kuanzia mwezi huu Machi 2023.
Na.
Abdul Nondo.
Uthibitisho huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, ndug.Tundu Lissu jana Jumapili, Machi 05, 2023 wakati akijibu maswali kwenye hadhara iliyofanyika kwenye mtandao wa Clubhouse...
KISIASA, Mafia State humaanisha nchi kuwa na serikali jambazi. Ama inatenda uhalifu moja kwa moja kupitia vyombo vyake au inaendesha makundi hatari ya uhalifu.
Jana, Rais Samia alieleza kuhusu fedha za watuhumiwa wa kesi za uhujumu uchumi kufichwa China. Ni zile watu walilipishwa ili kununua...
Mbowe usituone majinga tunajua umelambishwa asali ili uendelee kumtukana Magufuli na najaribu kusema ni moja kati ya masharti uliyopewa ili uendeshe mikutano ya ujinga. Binafsi Magufuli ni mkombozi mana toka Tanzania ipate uhuru, ndiyo nilijua kuwa sisi sio maskini bali umaskini tuliyo nayo...
LAANA INAWATESA AKINA MBOWE.
Mzee EDWIN MTEI na BOB NYANZA MAKANI waliianzisha CHADEMA ili ije kushika dola na kuonyesha utofauti kimatendo Kati ya CHADEMA na CCM.
WAZEE hawa waliweka pembeni maslahi yao binafsi na kutanguliza maslahi ya chadema na Taifa mbele. Waliijenga CHADEMA Kama Taasisi...
WATU wanashangaa behewa moja kwa ajili ya SGR limenunuliwa Sh2.2 bilioni.
Wasichokijua, hiyo ndio michongo ya Magufuli. Alilazimisha kununua vitu kwa cash ili kutupiga matukio. Ndege zote zilinunuliwa kwa fedha taslimu ili kutakatisha fedha.
Wataalamu walishangaa na kuhoji; tangu lini Serikali...
.
Kwanza, hao watawala wote waliopo madarakani, sisi wapinzani wala hatukuhusika kuwachagua bali wote hao waliwekwa kibabe mwaka 2020 na 'mwendazake' pamoja na Bashiru Ally. Kwahiyo, matatizo yote haya tunayoyaona yamesababishwa na 'mwendazake' pamoja na Bashiru Ally mwenyewe. Hivyo mpaka sasa...
Tumezoea kuona wafuasi wa kiongozi wa malaika wakipolomosha matusi kwa yeyote yule ambaye hakukubaliana nao katika legacy ya JPM ya utawala wa kibabe na siasa za majitaka lakini sasa naona wafuasi hao wanazidi kupotea taratibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.