Recent content by NTIGAHELA

  1. NTIGAHELA

    Nahitaji kununua Gari

    Ninahita gari used Nina milioni sita mwenye nalo tafadhali tuma picha ya Hali yake
  2. NTIGAHELA

    Wafanyabiashara wamkataa na kumpinga Tundu Lissu na CHADEMA yake. Wasema Serikali Ya CCM ni sikivu

    Kweli Chadema ni matapeli ndiyo maana watu wameanza kuisusa
  3. NTIGAHELA

    DOKEZO Wilaya ya Uyui ina matatizo makubwa

    Mzee umesema ukweli kabisa hata mimi nimeshuhudia viongozi wakigawana pesa za miradi ya shule na zahanati katika vijiji vya goweko nslololo na kuacha maboma yakiwa hayaendelezwi na pesa serikakali viongozi wako busy kuwalazimisha wananchi wajitolee na kuwashtaki Kwa kutojilea huku wao wakinifaka...
  4. NTIGAHELA

    Naomba kujuzwa chanzo cha ziwa Tanganyika

    Naomba kujuzwa hivi ziwa Tanganyika likitokana na nini Kwa maana kumekuwa na dhana mbili Moja ikisema ni ziwa Tanganyika likitokana mvua na mito na mabonde nyingine ikisema ni ziwa likitokana na volcano sasa naomba kujua ipi sahihi kati ya dhana hizi mbili
  5. NTIGAHELA

    Nimesikitika Nape alipotamba wamefumua hatua mbalimbali kuhusu uchumi alizochukua Magufuli

    Sukuma gang Kwanza hamna hata hoja hivi benki zikifungwa nchi itaendelea vipi hamuoni nchi hii ilikua kwenye hatari ya kufilisika ndiyo maana miradi ilikua inaendeshwa kwa pesa za kukopa china tena kwa riba ya juu zaidi halafu mkabaki mnadanganywa kwmba ni pesa zetu
  6. NTIGAHELA

    Rais Samia bingwa wa siasa Tanzania

    "Siasa Ina sura Nyingi, Vijana Tubadilike Tuwe Watu Wa Logic Tukashinde Mihemko Yetu." -ntigahela, Mwanaharakati Huru. Vijana Tumekariri, Tunaendeshwa na Mihemko ya Kisiasa, Yaani Tunaamini Lugha Kali, Uhasama wa Kiitikadi ndio Upinzani Hasa, Kumbe Siasa Yenyewe Inasura nyingi, inarangi nyingi...
  7. NTIGAHELA

    Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

    TUNAWEZAJE KUIONDOA CCM KWA KUDHIHAKI KAZI ZA WANANCHI? [emoji117]Ndio Bodaboda ni kazi Kama zilivyo kazi zingine halali. [emoji117]Pikipiki ni usafiri wa umma Kama yalivyo Magari, Ndege na vyombo vingine vya usafiri Kuna wanaotumia kama chombo binafsi Cha usafiri lakini wasionavyo wanachukua...
  8. NTIGAHELA

    Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

    Mhe.Tundulisu amethibitisha Chadema kuanza kupokea Ruzuku kuanzia mwezi huu Machi 2023. Na. Abdul Nondo. Uthibitisho huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, ndug.Tundu Lissu jana Jumapili, Machi 05, 2023 wakati akijibu maswali kwenye hadhara iliyofanyika kwenye mtandao wa Clubhouse...
  9. NTIGAHELA

    Tanzania ya Magufuli ilikuwa ya kimafia

    KISIASA, Mafia State humaanisha nchi kuwa na serikali jambazi. Ama inatenda uhalifu moja kwa moja kupitia vyombo vyake au inaendesha makundi hatari ya uhalifu. Jana, Rais Samia alieleza kuhusu fedha za watuhumiwa wa kesi za uhujumu uchumi kufichwa China. Ni zile watu walilipishwa ili kununua...
  10. NTIGAHELA

    Siri ya hotuba ya Mbowe

    Mbowe usituone majinga tunajua umelambishwa asali ili uendelee kumtukana Magufuli na najaribu kusema ni moja kati ya masharti uliyopewa ili uendeshe mikutano ya ujinga. Binafsi Magufuli ni mkombozi mana toka Tanzania ipate uhuru, ndiyo nilijua kuwa sisi sio maskini bali umaskini tuliyo nayo...
  11. NTIGAHELA

    Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

    LAANA INAWATESA AKINA MBOWE. Mzee EDWIN MTEI na BOB NYANZA MAKANI waliianzisha CHADEMA ili ije kushika dola na kuonyesha utofauti kimatendo Kati ya CHADEMA na CCM. WAZEE hawa waliweka pembeni maslahi yao binafsi na kutanguliza maslahi ya chadema na Taifa mbele. Waliijenga CHADEMA Kama Taasisi...
  12. NTIGAHELA

    Usichokijua kuhusu mabehewa

    WATU wanashangaa behewa moja kwa ajili ya SGR limenunuliwa Sh2.2 bilioni. Wasichokijua, hiyo ndio michongo ya Magufuli. Alilazimisha kununua vitu kwa cash ili kutupiga matukio. Ndege zote zilinunuliwa kwa fedha taslimu ili kutakatisha fedha. Wataalamu walishangaa na kuhoji; tangu lini Serikali...
  13. NTIGAHELA

    Wakina Bashiru wana uhalali gani?

    . Kwanza, hao watawala wote waliopo madarakani, sisi wapinzani wala hatukuhusika kuwachagua bali wote hao waliwekwa kibabe mwaka 2020 na 'mwendazake' pamoja na Bashiru Ally. Kwahiyo, matatizo yote haya tunayoyaona yamesababishwa na 'mwendazake' pamoja na Bashiru Ally mwenyewe. Hivyo mpaka sasa...
  14. NTIGAHELA

    Wafuasi wa Magufuli mbona kimya tena

    Tumezoea kuona wafuasi wa kiongozi wa malaika wakipolomosha matusi kwa yeyote yule ambaye hakukubaliana nao katika legacy ya JPM ya utawala wa kibabe na siasa za majitaka lakini sasa naona wafuasi hao wanazidi kupotea taratibu
Back
Top Bottom