Naomba kujuzwa chanzo cha ziwa Tanganyika

NTIGAHELA

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
362
254
Naomba kujuzwa hivi ziwa Tanganyika likitokana na nini Kwa maana kumekuwa na dhana mbili Moja ikisema ni ziwa Tanganyika likitokana mvua na mito na mabonde nyingine ikisema ni ziwa likitokana na volcano sasa naomba kujua ipi sahihi kati ya dhana hizi mbili
 
Naomba kujuzwa hivi ziwa Tanganyika likitokana na nini Kwa maana kumekuwa na dhana mbili Moja ikisema ni ziwa Tanganyika likitokana mvua na mito na mabonde nyingine ikisema ni ziwa likitokana na volcano sasa naomba kujua ipi sahihi kati ya dhana hizi mbili
Limetokana na bonde la ufa
 
Naomba kujuzwa hivi ziwa Tanganyika likitokana na nini Kwa maana kumekuwa na dhana mbili Moja ikisema ni ziwa Tanganyika likitokana mvua na mito na mabonde nyingine ikisema ni ziwa likitokana na volcano sasa naomba kujua ipi sahihi kati ya dhana hizi mbili
Mvua, mito na bonde hutengeneza ziwa au bwawa, volikano ni moto haiwezi kujaza maji.
 
Back
Top Bottom