Wewe unasema ubasoma biblia halafu umekosa suluhu kuhusu kudhulumiwa,?
Soma kuhusu Isaka alidhulumiwa visima sita mpaka kisima cha Saba amvacho kilibaki akakiita Rehoboth? Ukiona unadulumiwa endelea kutafuta opportunity nyingine ndio mpango wa Mungu
Kama hujapata maswali magumu basi hujasoma biblia, ukifika kitabu cha Isaya nabii, Daniel na Ufunuo nitafute kwa changamoto yoyote utakayokumbana nayo
au tuambie umesoma vitabu gani tukuulize maswali.
Kama hujaleta maswali hujaelewa unachosoma
Ufafanuzi wa yule dada aliyeandika vitabu vyenye ukubwa kama wa kuandika PhD thesis. Mamia ya vitabu ili kutengeneza CODE ya kwenda mwezini.
Nini kilitakiwa kiwe ili kuwezesha kwenda mwezini kwa kutumia code iiyoandikwa kwenye vitabu vyote vile
Sent from my itel S13 using JamiiForums mobile app
Kwenye kupandikiza mimba umepotosha sasa sijui kwa maslahi ya nani. Ungesema linakataza kupandikiza mimba kw niaba lakin wewe umeonyesha kana kwamba kanisa linapinga kupandikiza mimba kwa ujumla wake hata kama ni kwa wana ndoa ambao wanafanya kwa ajili yao wenyewe na sio kwa kubeba mimba kwa...
Ukiweka condition akuoe ndo mzae, sahau kupata mtoto. Mtansubiri sana lakini hatakuja, mkihurumiwa sana atakuja kwa kuchelewa sana . Kumbuka wote hamkuwa mnamtaka huyo mtoto ndo maana ya toa, usitoe. Tumbo la uzazi linatunza kumbukumbu. Wewe sasa hivi ukizaa ni kwa kupitia kwa mtu tofauti ambaye...
Unachotaka kumaan isha kwa umma sio kweli. Watu wanaposafirisha misiba kuna wakati wanahitaji huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na chakula. kupiumzika sometime na hata kupoteza mawazo ili waendelee na safari muda muafaka. hakuna watu wanasafirisha maiti njiani halafu wanalia safarini. sio kweli
Huyo mwarabu waliempatia TANESCO wanataka nyie wenyewe ndo muombe aje front.
Umeme umejaa hapo Uganda serikali inashindwaje kununua? Huu ni mchezo tunachezewa na watawala Ili kahalalisha kuleta limkataba la Mwarabu lililofukiwa
TUnajua mahujumu TANESCO maksudi kwa sababu kuna mwekezaji mmeshampatia mkataba ila mnashindwa kumleta mbele so mnaanza kuihujumu na kuleta chawa walete hizi hoja
Wanaume wakatili huwa ni wakimya hawasemi chochote, huyo mume wake ameshajua kinachoendelea ila anajidai hajui. utakuja kujikuta upo kwenye jengo halijaisha kujengwa na hujui ni wapi na pembeni kuna SMG na majitu usio wajua sura wala hukuwahi kuwaona.
Kwa vyovyote bike kwenye hayo mamikataba 36 ya huyo mama Nushati haiweei kukosekana. Hapa serikali wanaihujumu makusudi Ili wapate kisingizio Cha kumleta hadharani mwarabu waliempatia kuendesha mabwa you're ya umeme Tanganyika na kusimamia umeme nchini Neiman. Wanasubiri mpige kelele Kwanzaa...
Kuna majanga ambayo yanakuwa artificially created. Hiyo tech ipo na Marekani ndo wanaityoua sana kujaribu nchu zinazotishia uchumi wao. Urusi wanawezaje tech ya kukihami na hii michezo. Pia nao Wana tech Yao ya majanga Ila hawautumii. Nchi Kama Irani ingeshatoweka Ila inasaidiwa na Urusi kukwepa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.